Je ,tuwasikilize kibwetere na Mecknzie kwenye Mkataba na Dubai au Tuusome wenyewe?

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Wanabodi,

Unawezaje kuamini Maneno ya Issa Shivji,Maneno ya TLS chama cha wanasheria hiki,Maneno ya Mbowe au Dkt slaa?

Hao wote ni vigeugeu,Hukumbuki Issa shvji na midahalo ya katiba na serikali tatu baadae akasema katiba haina maana,Ni Njaa njaa hutweza utu

Hukumbuki Issa shivji na kelele za kutaka NBC iendelee kumilikiwa na serikali huku akipinga uanzishwaji wa NMB?
.
Hukumbuki Freeman Mbowe na lowasa fisadi halafu akaja na story zake za gia angani kuwa lowasa ni asset yaani mali?Ni maslahi maslahi binafsi

Hukumbuki chaguzi za TLS na siasa zake, sakata la Fatuma karume kutimuliwa uwakili huku chama TLS kikiufyata na kumuacha fatuma karume peke yake,Wanasoma upepo wa maslahi na ni waoga

Hukumbuki story za TLS chama cha mawakili na mambo ya bwawa la Nyerere lisijengwe litaharibu mazingira na report zao ,Leo wanafunga safari TLS na wanahabari kuangalia bwawa la Nyerere la kufua umeme

Je?Kuna tofauti gani ya kibwetere,Mencknzie na hawa wapinga uwekezaji?

Dunia ya leo bado watu wanaamini simulizi za wengine bila wao wenyewe kujiridhisha na ukweli,

Kibwetere na Mecknzie hawa ni watu walioaminisha uma na uma ukawaamini ,Makosa ya wafuasi wa Mecknzie na kibwetere ni kusikiliza na kuamini bila kufanya utafiti na kujiridhisha ,Je kinachohubiriwa ni sahihi?Mwisho wa wafuasi hawa wa Mecknzie na kibwetere ilikuwa ni kifo

Watanzania hatujasoma makubaliano ya IGA kati ya serikali na Arab Emirates of Dubai bali tunawasikiliza akina kibwetete na Mecknzie watusimulie na kutufafanulia , wanatuambia tufunge hadi kufa wakati wao wenyewe wanaendelea kulamba asali

Unawezaje kuwaamini watu vigeugeu ,Vigeugeu wamegeuka madalali wa kutusimulia vipengele vya makubaliano wakati sisi wenyewe wananchi hatujavisoma

Tuwakatae vibwetete na Vimakenzie kwenye Taifa letu,Kama kweli wana uchungu na wao sio vigeugeu watuombe msamaha kwa kutuambia lowasa fisadi,Bwawa la Mwalimu Nyerere ni mradi safi,ubinafsishaji wa sekta ya Bank umekuza uchumi

Tunahitaji mabadiliko bandarini lakini akina kibwetere na Mecknzie waanze wao kufunga hadi kufa halafu sisi wananchi tutakuwa wa mwisho kufunga
 
Wanabodi,

Unawezaje kuamini Maneno ya Issa Shivji,Maneno ya TLS chama cha wanasheria hiki,Maneno ya Mbowe au Dkt slaa?

Hao wote ni vigeugeu,Hukumbuki Issa shvji na midahalo ya katiba na serikali tatu baadae akasema katiba haina maana,Ni Njaa njaa hutweza utu

Hukumbuki Issa shivji na kelele za kutaka NBC iendelee kumilikiwa na serikali huku akipinga uanzishwaji wa NMB?
.
Hukumbuki Freeman Mbowe na lowasa fisadi halafu akaja na story zake za gia angani kuwa lowasa ni asset yaani mali?Ni maslahi maslahi binafsi

Hukumbuki chaguzi za TLS na siasa zake, sakata la Fatuma karume kutimuliwa uwakili huku chama TLS kikiufyata na kumuacha fatuma karume peke yake,Wanasoma upepo wa maslahi na ni waoga

Hukumbuki story za TLS chama cha mawakili na mambo ya bwawa la Nyerere lisijengwe litaharibu mazingira na report zao ,Leo wanafunga safari TLS na wanahabari kuangalia bwawa la Nyerere la kufua umeme

Je?Kuna tofauti gani ya kibwetere,Mencknzie na hawa wapinga uwekezaji?

Dunia ya leo bado watu wanaamini simulizi za wengine bila wao wenyewe kujiridhisha na ukweli,

Kibwetere na Mecknzie hawa ni watu walioaminisha uma na uma ukawaamini ,Makosa ya wafuasi wa Mecknzie na kibwetere ni kusikiliza na kuamini bila kufanya utafiti na kujiridhisha ,Je kinachohubiriwa ni sahihi?Mwisho wa wafuasi hawa wa Mecknzie na kibwetere ilikuwa ni kifo

Watanzania hatujasoma makubaliano ya IGA kati ya serikali na Arab Emirates of Dubai bali tunawasikiliza akina kibwetete na Mecknzie watusimulie na kutufafanulia , wanatuambia tufunge hadi kufa wakati wao wenyewe wanaendelea kulamba asali

Unawezaje kuwaamini watu vigeugeu ,Vigeugeu wamegeuka madalali wa kutusimulia vipengele vya makubaliano wakati sisi wenyewe wananchi hatujavisoma

Tuwakatae vibwetete na Vimakenzie kwenye Taifa letu,Kama kweli wana uchungu na wao sio vigeugeu watuombe msamaha kwa kutuambia lowasa fisadi,Bwawa la Mwalimu Nyerere ni mradi safi,ubinafsishaji wa sekta ya Bank umekuza uchumi

Tunahitaji mabadiliko bandarini lakini akina kibwetere na Mecknzie waanze wao kufunga hadi kufa halafu sisi wananchi tutakuwa wa mwisho kufunga
Umesema vyema kabisa. Wajinga ni wengi sana hapa Tanzania na hawapaswi kusikilizwa kabisa
 
IMG-20230629-WA0012.jpg
 
wewe tusaidie, aliyetoa ruhusa ya kusaini anatoka zanzibar, waziri aliyesaini mkataba anatoka zanzibar, saini ya katibu ni Mzanzibar, na mwanasheria aliyehusika anatoka Zanzibar, na kinachouzwa ni rasilimali za Tanganyika, ni kwa manufaa ya nani?

kama ya JMT mbona Zanzibari haimo? na kwani rasilimali za tanganyika tu?
 
IMG-20230629-WA0006.jpg


Nguli wa Sheria duniani, Profesa Issa Shivji anasema kuwa mkataba wa bandari unaipa wajibu Tanzania lakini unaipa haki zote Emirate ya Dubai. Kwa lugha rahisi sisi tumepewa WAJIBU wa kulea mimba lakini HAKI ya mtoto amepewa Dubai.

Profesa nguli Shivji anasema kitendo cha Rais Samia kusaini Mkataba unaoipa Dubai HAKI ZOTE na sisi kubeba WAJIBU WOTE ni kuhamisha mamlaka ya Urais wa Tanzania na kupeleka Dubai. Yani Rais Samia kajipunguzia madaraka yake na kuwapa Warabu wa Dubai waamue kwa niaba yake.

Kwa lugha rahisi ni kwamba wakati wananchi wanalalamika Rais apunguziwe madaraka yarudi kwa wananchi, yeye kaamua kuyapunguzia Dubai. Asante Profesa Nguli Shivji kwa kuwafungua macho Watanzania. Sasa tunasubiri wamtume Mwijaku aje kukujibu.!
 
View attachment 2673754

Nguli wa Sheria duniani, Profesa Issa Shivji anasema kuwa mkataba wa bandari unaipa wajibu Tanzania lakini unaipa haki zote Emirate ya Dubai. Kwa lugha rahisi sisi tumepewa WAJIBU wa kulea mimba lakini HAKI ya mtoto amepewa Dubai...
Huyo Shivji alikataa kuanzishwa kwa NMB na alichochea midahalo vibaya mno

Huyo anaamini kwenye ujamaa wa North Korea

Leo anaona aibu jinsi NMB invyogawa gawio kwa serikali

Hana cha unguli wowote ule

Amejaa theory tu kichwani
 
Huyo Shivji alikataa kuanzishwa kwa NMB na alichochea midahalo vibaya mno

Huyo anaamini kwenye ujamaa wa North Korea...
Chambua hoja yake ya sasa achana na mengineyo. Kukataa kuanzishwa kwa NMB kuna uhusiano gani na anachokisema hapo juu? Ni kweli au si kweli?

Na usimshambulie yeye kama yeye (ad hominem attacks), shambulia hoja yake hapo....
 
Wanabodi,

Unawezaje kuamini Maneno ya Issa Shivji,Maneno ya TLS chama cha wanasheria hiki,Maneno ya Mbowe au Dkt slaa?
TLS ni chama siyo mtu binafsi kujumuishwa kwenye hoja yako. Hoja yangu msingi ni pale ambapo hukuwahusisha uliowataja na Taasisi zao.

Hao wote ni vigeugeu,Hukumbuki Issa shvji na midahalo ya katiba na serikali tatu baadae akasema katiba haina maana,Ni Njaa njaa hutweza utu
Unaweza ukawa na hoja lakini hitimisho lako limeifanya iwe ya hisia na tusi kwa watajwa

Hukumbuki Issa shivji na kelele za kutaka NBC iendelee kumilikiwa na serikali huku akipinga uanzishwaji wa NMB?
Ungetoa mifano ya hoja zake pingamizi kuhusu NBC na NMB, hoja yako ingekuwa na nguvu, la, unaleta udaku wa kijiweni

Hukumbuki Freeman Mbowe na lowasa fisadi halafu akaja na story zake za gia angani kuwa lowasa ni asset yaani mali?Ni maslahi maslahi binafsi
Toa ufafanuzi maslahi gani alilenga na kupata.

Hukumbuki chaguzi za TLS na siasa zake, sakata la Fatuma karume kutimuliwa uwakili huku chama TLS kikiufyata na kumuacha fatuma karume peke yake,Wanasoma upepo wa maslahi na ni waoga
Rejea kesi ya mtajwa na maamuzi ya mahakama, ngazi mbalimbali uhusika au kutokuhusika kwa TLS. Pia pitia madhumuni ya kuanzishwa kwa TLS na wajibu wake.

Hukumbuki story za TLS chama cha mawakili na mambo ya bwawa la Nyerere lisijengwe litaharibu mazingira na report zao ,Leo wanafunga safari TLS na wanahabari kuangalia bwawa la Nyerere la kufua umeme
Kumbe ni story, tusimulie

Je?Kuna tofauti gani ya kibwetere,Mencknzie na hawa wapinga uwekezaji?
Hao uliowataja hawana utofauti gani, fafanua.

Dunia ya leo bado watu wanaamini simulizi za wengine bila wao wenyewe kujiridhisha na ukweli,
Hoja yako hiyo inathibitisha wewe ujajiridhisha, lakini mimi nimejiridhisha mkataba/makubaliano ya IGA yana vifungu batili (rejea bandiko kadhaa humu JF)

Kibwetere na Mecknzie hawa ni watu walioaminisha uma na uma ukawaamini ,Makosa ya wafuasi wa Mecknzie na kibwetere ni kusikiliza na kuamini bila kufanya utafiti na kujiridhisha ,Je kinachohubiriwa ni sahihi?Mwisho wa wafuasi hawa wa Mecknzie na kibwetere ilikuwa ni kifo
Hatimaye umejisahihisha kosa la kufananisha hao na unao watuhumu. Kulinganisha Watanzania na wafuasi wa hao unatukana Watanzania wanapinga uwekezaji bandari kwa makubaliano/mkataba huo wa IGA.

Watanzania hatujasoma makubaliano ya IGA kati ya serikali na Arab Emirates of Dubai bali tunawasikiliza akina kibwetete na Mecknzie watusimulie na kutufafanulia , wanatuambia tufunge hadi kufa wakati wao wenyewe wanaendelea kulamba asali
Ni vyema ukakiri wewe hujausoma na kama umeusoma pinga hoja zinazouona haufai, kwa hoja.

Unawezaje kuwaamini watu vigeugeu ,Vigeugeu wamegeuka madalali wa kutusimulia vipengele vya makubaliano wakati sisi wenyewe wananchi hatujavisoma
Nipe hoja za msingi niukubali IGA na niamini wewe siyo mmoja wa hao unaowafananisha na wafuasi wasiojijua, au wewe nawe siyo kigeugeu.

Tuwakatae vibwetete na Vimakenzie kwenye Taifa letu,Kama kweli wana uchungu na wao sio vigeugeu watuombe msamaha kwa kutuambia lowasa fisadi,Bwawa la Mwalimu Nyerere ni mradi safi,ubinafsishaji wa sekta ya Bank umekuza uchumi
Thibitisha hitimisho kwa takwimu

Tunahitaji mabadiliko bandarini lakini akina kibwetere na Mecknzie waanze wao kufunga hadi kufa halafu sisi wananchi tutakuwa wa mwisho kufunga
Bandiko lako lote halina ushahidi wanaopinga IGA hawataki uwekezaji bandarini
 
View attachment 2673754

Nguli wa Sheria duniani, Profesa Issa Shivji anasema kuwa mkataba wa bandari unaipa wajibu Tanzania lakini unaipa haki zote Emirate ya Dubai. Kwa lugha rahisi sisi tumepewa WAJIBU wa kulea mimba lakini HAKI ya mtoto amepewa Dubai.

Profesa nguli Shivji anasema kitendo cha Rais Samia kusaini Mkataba unaoipa Dubai HAKI ZOTE na sisi kubeba WAJIBU WOTE ni kuhamisha mamlaka ya Urais wa Tanzania na kupeleka Dubai. Yani Rais Samia kajipunguzia madaraka yake na kuwapa Warabu wa Dubai waamue kwa niaba yake.

Kwa lugha rahisi ni kwamba wakati wananchi wanalalamika Rais apunguziwe madaraka yarudi kwa wananchi, yeye kaamua kuyapunguzia Dubai. Asante Profesa Nguli Shivji kwa kuwafungua macho Watanzania. Sasa tunasubiri wamtume Mwijaku aje kukujibu.!
Nitaendelea kurejea hoja yangu kwamba hakuna shaka yoyote kuwa nyuma ya hayo makubaliano/mkataba (IGA) ni UMILIKI, na siyo uendeshaji, wa bandari (yenye maliasili ya mafuta na gesi) kuwekwa mikononi mwa Emirate ya Dubai. Kwa tafsiri ya Prof. Shivji Serikali ya JMT inaruhusu moja ya njia kuu ya kuingia Tanzania kumilikiwa na Taifa la kigeni kwa KIFUNGU CHA 7: VIBALI VYA MRADI 3. Iwapo vibali vikisha tolewa kwa mradi wowote havitoweza, kubatilishwa, kubadilishwa, kurekebishwa, au kushindwa kuhuishwa au kuongezwa na Serikali ya Tanzania au mamlaka husika ya serikali au wakala bila ya mashauriano ya awali na PCFC inayowakilisha Serikali ya Dubai ikiwa ubatilishaji kama huo, mabadiliko,
urekebishaji au kushindwa kuhuisha au kuongezwa kunaweza kuwa na athari mbaya kwa Miradi (au yoyote kati ya hizo).
 
Wanabodi,

Unawezaje kuamini Maneno ya Issa Shivji,Maneno ya TLS chama cha wanasheria hiki,Maneno ya Mbowe au Dkt slaa?

Hao wote ni vigeugeu,Hukumbuki Issa shvji na midahalo ya katiba na serikali tatu baadae akasema katiba haina maana,Ni Njaa njaa hutweza utu

Hukumbuki Issa shivji na kelele za kutaka NBC iendelee kumilikiwa na serikali huku akipinga uanzishwaji wa NMB?
.
Hukumbuki Freeman Mbowe na lowasa fisadi halafu akaja na story zake za gia angani kuwa lowasa ni asset yaani mali?Ni maslahi maslahi binafsi

Hukumbuki chaguzi za TLS na siasa zake, sakata la Fatuma karume kutimuliwa uwakili huku chama TLS kikiufyata na kumuacha fatuma karume peke yake,Wanasoma upepo wa maslahi na ni waoga

Hukumbuki story za TLS chama cha mawakili na mambo ya bwawa la Nyerere lisijengwe litaharibu mazingira na report zao ,Leo wanafunga safari TLS na wanahabari kuangalia bwawa la Nyerere la kufua umeme

Je?Kuna tofauti gani ya kibwetere,Mencknzie na hawa wapinga uwekezaji?

Dunia ya leo bado watu wanaamini simulizi za wengine bila wao wenyewe kujiridhisha na ukweli,

Kibwetere na Mecknzie hawa ni watu walioaminisha uma na uma ukawaamini ,Makosa ya wafuasi wa Mecknzie na kibwetere ni kusikiliza na kuamini bila kufanya utafiti na kujiridhisha ,Je kinachohubiriwa ni sahihi?Mwisho wa wafuasi hawa wa Mecknzie na kibwetere ilikuwa ni kifo

Watanzania hatujasoma makubaliano ya IGA kati ya serikali na Arab Emirates of Dubai bali tunawasikiliza akina kibwetete na Mecknzie watusimulie na kutufafanulia , wanatuambia tufunge hadi kufa wakati wao wenyewe wanaendelea kulamba asali

Unawezaje kuwaamini watu vigeugeu ,Vigeugeu wamegeuka madalali wa kutusimulia vipengele vya makubaliano wakati sisi wenyewe wananchi hatujavisoma

Tuwakatae vibwetete na Vimakenzie kwenye Taifa letu,Kama kweli wana uchungu na wao sio vigeugeu watuombe msamaha kwa kutuambia lowasa fisadi,Bwawa la Mwalimu Nyerere ni mradi safi,ubinafsishaji wa sekta ya Bank umekuza uchumi

Tunahitaji mabadiliko bandarini lakini akina kibwetere na Mecknzie waanze wao kufunga hadi kufa halafu sisi wananchi tutakuwa wa mwisho kufunga
jibu hoja zao? mkataba ni sheria, sio siasa? ndio maana unaona TLS wametoa mchango wao namna ya kufanya, mchango wako wewe ni nini? Shivji katoa mchango wake, Mchango wako wewe ni nini?, wansheria wametoa mchango wao, Mchango wako wewe nini?

aliyewasadikisha vijana kuwa siasa inalipa, na kuwafanya kuwa machawa, kariharibu sana taifa hili;


Tunataka Rais mzalendo mwenye uchungu na mali zetu, na wivu mkubwa na Tz.
 
Wanabodi,

Unawezaje kuamini Maneno ya Issa Shivji,Maneno ya TLS chama cha wanasheria hiki,Maneno ya Mbowe au Dkt slaa?

Hao wote ni vigeugeu,Hukumbuki Issa shvji na midahalo ya katiba na serikali tatu baadae akasema katiba haina maana,Ni Njaa njaa hutweza utu

Hukumbuki Issa shivji na kelele za kutaka NBC iendelee kumilikiwa na serikali huku akipinga uanzishwaji wa NMB?
.
Hukumbuki Freeman Mbowe na lowasa fisadi halafu akaja na story zake za gia angani kuwa lowasa ni asset yaani mali?Ni maslahi maslahi binafsi

Hukumbuki chaguzi za TLS na siasa zake, sakata la Fatuma karume kutimuliwa uwakili huku chama TLS kikiufyata na kumuacha fatuma karume peke yake,Wanasoma upepo wa maslahi na ni waoga

Hukumbuki story za TLS chama cha mawakili na mambo ya bwawa la Nyerere lisijengwe litaharibu mazingira na report zao ,Leo wanafunga safari TLS na wanahabari kuangalia bwawa la Nyerere la kufua umeme

Je?Kuna tofauti gani ya kibwetere,Mencknzie na hawa wapinga uwekezaji?

Dunia ya leo bado watu wanaamini simulizi za wengine bila wao wenyewe kujiridhisha na ukweli,

Kibwetere na Mecknzie hawa ni watu walioaminisha uma na uma ukawaamini ,Makosa ya wafuasi wa Mecknzie na kibwetere ni kusikiliza na kuamini bila kufanya utafiti na kujiridhisha ,Je kinachohubiriwa ni sahihi?Mwisho wa wafuasi hawa wa Mecknzie na kibwetere ilikuwa ni kifo

Watanzania hatujasoma makubaliano ya IGA kati ya serikali na Arab Emirates of Dubai bali tunawasikiliza akina kibwetete na Mecknzie watusimulie na kutufafanulia , wanatuambia tufunge hadi kufa wakati wao wenyewe wanaendelea kulamba asali

Unawezaje kuwaamini watu vigeugeu ,Vigeugeu wamegeuka madalali wa kutusimulia vipengele vya makubaliano wakati sisi wenyewe wananchi hatujavisoma

Tuwakatae vibwetete na Vimakenzie kwenye Taifa letu,Kama kweli wana uchungu na wao sio vigeugeu watuombe msamaha kwa kutuambia lowasa fisadi,Bwawa la Mwalimu Nyerere ni mradi safi,ubinafsishaji wa sekta ya Bank umekuza uchumi

Tunahitaji mabadiliko bandarini lakini akina kibwetere na Mecknzie waanze wao kufunga hadi kufa halafu sisi wananchi tutakuwa wa mwisho kufunga
jibu hoja zao? mkataba ni sheria, sio siasa? ndio maana unaona TLS wametoa mchango wao namna ya kufanya, mchango wako wewe ni nini? Shivji katoa mchango wake, Mchango wako wewe ni nini?, wansheria wametoa mchango wao, Mchango wako wewe nini?

aliyewasadikisha vijana kuwa siasa inalipa, na kuwafanya kuwa machawa, kariharibu sana taifa hili;


Tunataka Rais mzalendo mwenye uchungu na mali zetu, na wivu mkubwa na Tz.
 
TLS ni chama siyo mtu binafsi kujumuishwa kwenye hoja yako. Hoja yangu msingi ni pale ambapo hukuwahusisha uliowataja na Taasisi zao.


Unaweza ukawa na hoja lakini hitimisho lako limeifanya iwe ya hisia na tusi kwa watajwa


Ungetoa mifano ya hoja zake pingamizi kuhusu NBC na NMB, hoja yako ingekuwa na nguvu, la, unaleta udaku wa kijiweni


Toa ufafanuzi maslahi gani alilenga na kupata.


Rejea kesi ya mtajwa na maamuzi ya mahakama, ngazi mbalimbali uhusika au kutokuhusika kwa TLS. Pia pitia madhumuni ya kuanzishwa kwa TLS na wajibu wake.


Kumbe ni story, tusimulie


Hao uliowataja hawana utofauti gani, fafanua.


Hoja yako hiyo inathibitisha wewe ujajiridhisha, lakini mimi nimejiridhisha mkataba/makubaliano ya IGA yana vifungu batili (rejea bandiko kadhaa humu JF)


Hatimaye umejisahihisha kosa la kufananisha hao na unao watuhumu. Kulinganisha Watanzania na wafuasi wa hao unatukana Watanzania wanapinga uwekezaji bandari kwa makubaliano/mkataba huo wa IGA.


Ni vyema ukakiri wewe hujausoma na kama umeusoma pinga hoja zinazouona haufai, kwa hoja.


Nipe hoja za msingi niukubali IGA na niamini wewe siyo mmoja wa hao unaowafananisha na wafuasi wasiojijua, au wewe nawe siyo kigeugeu.


Thibitisha hitimisho kwa takwimu


Bandiko lako lote halina ushahidi wanaopinga IGA hawataki uwekezaji bandarini
Kwa hiyo unataka tuwasikilize vigeugeu na opportunist kama Dkt Slaa au?

Hivi ni kazi ya mleta mada kukutafutia clip za Mbowe akosema lowasa fisadi au ni jukumu lako kujiridhisha?

Mkuu wewe huna tofauti na Menkenzie anayezungumzwa na mleta uzi ,Tafuta maandiko ya shivji kuhusu ubinafishaji wakati wa Rais Mkapa na ujiridhishe

Nani kasema TLS ni mtu?Angalia paragrah za mleta mada kasema TLs ni chama cha wanasheria hiki

Kwa hiyo hicho chama cha TLS kikikengeuka kisiambiwe ukweli?

Issue hapa wanaopinga Uwekezaji hawana hoja zaidi ya udini na unzazibar na kuogopa waarabu

Articles 23 ipo clear kabisa hata ukisoma article 20 za termination hazina shida kabisa
 
Kwa hiyo unataka tuwasikilize vigeugeu na opportunist kama Dkt Slaa au?

Hivi ni kazi ya mleta mada kukutafutia clip za Mbowe akosema lowasa fisadi au ni jukumu lako kujiridhisha?

Mkuu wewe huna tofauti na Menkenzie anayezungumzwa na mleta uzi ,Tafuta maandiko ya shivji kuhusu ubinafishaji wakati wa Rais Mkapa na ujiridhishe

Nani kasema TLS ni mtu?Angalia paragrah za mleta mada kasema TLs ni chama cha wanasheria hiki

Kwa hiyo hicho chama cha TLS kikikengeuka kisiambiwe ukweli?
achana nae mkuu anatoa semina elekezi ya kuwatoa watu wasiwasi, na si kujibu hoja
 
Wanabodi,

Unawezaje kuamini Maneno ya Issa Shivji,Maneno ya TLS chama cha wanasheria hiki,Maneno ya Mbowe au Dkt slaa?

Hao wote ni vigeugeu,Hukumbuki Issa shvji na midahalo ya katiba na serikali tatu baadae akasema katiba haina maana,Ni Njaa njaa hutweza utu

Hukumbuki Issa shivji na kelele za kutaka NBC iendelee kumilikiwa na serikali huku akipinga uanzishwaji wa NMB?
.
Hukumbuki Freeman Mbowe na lowasa fisadi halafu akaja na story zake za gia angani kuwa lowasa ni asset yaani mali?Ni maslahi maslahi binafsi

Hukumbuki chaguzi za TLS na siasa zake, sakata la Fatuma karume kutimuliwa uwakili huku chama TLS kikiufyata na kumuacha fatuma karume peke yake,Wanasoma upepo wa maslahi na ni waoga

Hukumbuki story za TLS chama cha mawakili na mambo ya bwawa la Nyerere lisijengwe litaharibu mazingira na report zao ,Leo wanafunga safari TLS na wanahabari kuangalia bwawa la Nyerere la kufua umeme

Je?Kuna tofauti gani ya kibwetere,Mencknzie na hawa wapinga uwekezaji?

Dunia ya leo bado watu wanaamini simulizi za wengine bila wao wenyewe kujiridhisha na ukweli,

Kibwetere na Mecknzie hawa ni watu walioaminisha uma na uma ukawaamini ,Makosa ya wafuasi wa Mecknzie na kibwetere ni kusikiliza na kuamini bila kufanya utafiti na kujiridhisha ,Je kinachohubiriwa ni sahihi?Mwisho wa wafuasi hawa wa Mecknzie na kibwetere ilikuwa ni kifo

Watanzania hatujasoma makubaliano ya IGA kati ya serikali na Arab Emirates of Dubai bali tunawasikiliza akina kibwetete na Mecknzie watusimulie na kutufafanulia , wanatuambia tufunge hadi kufa wakati wao wenyewe wanaendelea kulamba asali

Unawezaje kuwaamini watu vigeugeu ,Vigeugeu wamegeuka madalali wa kutusimulia vipengele vya makubaliano wakati sisi wenyewe wananchi hatujavisoma

Tuwakatae vibwetete na Vimakenzie kwenye Taifa letu,Kama kweli wana uchungu na wao sio vigeugeu watuombe msamaha kwa kutuambia lowasa fisadi,Bwawa la Mwalimu Nyerere ni mradi safi,ubinafsishaji wa sekta ya Bank umekuza uchumi

Tunahitaji mabadiliko bandarini lakini akina kibwetere na Mecknzie waanze wao kufunga hadi kufa halafu sisi wananchi tutakuwa wa mwisho kufunga
Je unaweza kuusoma mkataba wa Bandari (DP world) kwa kuwa umeandikwa kwa lugha ya Kiingereza cha kisheria.
 
Huyo Shivji alikataa kuanzishwa kwa NMB na alichochea midahalo vibaya mno

Huyo anaamini kwenye ujamaa wa North Korea

Leo anaona aibu jinsi NMB invyogawa gawio kwa serikali

Hana cha unguli wowote ule

Amejaa theory tu kichwani
Hoja mezani ni bandari je anachosema profesa ni uongo?wewe utakuwa unawaza kwa kutumia makalio
 
Kwa hiyo unataka tuwasikilize vigeugeu na opportunist kama Dkt Slaa au?

Hivi ni kazi ya mleta mada kukutafutia clip za Mbowe akosema lowasa fisadi au ni jukumu lako kujiridhisha?

Mkuu wewe huna tofauti na Menkenzie anayezungumzwa na mleta uzi ,Tafuta maandiko ya shivji kuhusu ubinafishaji wakati wa Rais Mkapa na ujiridhishe

Nani kasema TLS ni mtu?Angalia paragrah za mleta mada kasema TLs ni chama cha wanasheria hiki

Kwa hiyo hicho chama cha TLS kikikengeuka kisiambiwe ukweli?
Mjadala uliopo mezani ni kuhusu bandari. Ishu ya Mbowe akimuita Lowasa fisadi au Dr. Slaa kuwa kigeugeu zinahusiana vipi?

Je, hoja alizotoa Slaa kuhusu huu mkataba wa bandari unakubaliana nazo ama hukubaliani nazo; na kwa nini? Na alizotoa Mbowe je? Lissu? TLS? Fanya hivyo kwa wote mnaowashambulia hapo juu. Utakuwa umetusaidia sana....

Lissu alisema, kwa mfano, kwa jinsi ulivyoandikwa mkataba hauwezi kuvunjwa hata iweje. Ni kweli au si kweli?

Mkataba huu ni wa milele - ni kweli si kweli? Na hauhusu bandari za Zanzibar - ni kweli si kweli?

Ungefanya hivyo ungetusaidia sana hata sisi ambao hatujui sheria badala tu ya kushambulia watu kwa mambo binafsi ambayo wala hayahusiki na hoja iliyoletwa!

 
Mkuu kama hawataki kukusikiliza waache wakapigwe moto na kibwetere au wakafishwe Njaa na Mackenzie,maana shida ya walokole hata uwaeleze vip vichwa ngumu sana hao,hao had PENGO au Mwamposa may be ndo wataelewa.
 
Wanabodi,

Unawezaje kuamini Maneno ya Issa Shivji,Maneno ya TLS chama cha wanasheria hiki,Maneno ya Mbowe au Dkt slaa?

Hao wote ni vigeugeu,Hukumbuki Issa shvji na midahalo ya katiba na serikali tatu baadae akasema katiba haina maana,Ni Njaa njaa hutweza utu

Hukumbuki Issa shivji na kelele za kutaka NBC iendelee kumilikiwa na serikali huku akipinga uanzishwaji wa NMB?
.
Hukumbuki Freeman Mbowe na lowasa fisadi halafu akaja na story zake za gia angani kuwa lowasa ni asset yaani mali?Ni maslahi maslahi binafsi

Hukumbuki chaguzi za TLS na siasa zake, sakata la Fatuma karume kutimuliwa uwakili huku chama TLS kikiufyata na kumuacha fatuma karume peke yake,Wanasoma upepo wa maslahi na ni waoga

Hukumbuki story za TLS chama cha mawakili na mambo ya bwawa la Nyerere lisijengwe litaharibu mazingira na report zao ,Leo wanafunga safari TLS na wanahabari kuangalia bwawa la Nyerere la kufua umeme

Je?Kuna tofauti gani ya kibwetere,Mencknzie na hawa wapinga uwekezaji?

Dunia ya leo bado watu wanaamini simulizi za wengine bila wao wenyewe kujiridhisha na ukweli,

Kibwetere na Mecknzie hawa ni watu walioaminisha uma na uma ukawaamini ,Makosa ya wafuasi wa Mecknzie na kibwetere ni kusikiliza na kuamini bila kufanya utafiti na kujiridhisha ,Je kinachohubiriwa ni sahihi?Mwisho wa wafuasi hawa wa Mecknzie na kibwetere ilikuwa ni kifo

Watanzania hatujasoma makubaliano ya IGA kati ya serikali na Arab Emirates of Dubai bali tunawasikiliza akina kibwetete na Mecknzie watusimulie na kutufafanulia , wanatuambia tufunge hadi kufa wakati wao wenyewe wanaendelea kulamba asali

Unawezaje kuwaamini watu vigeugeu ,Vigeugeu wamegeuka madalali wa kutusimulia vipengele vya makubaliano wakati sisi wenyewe wananchi hatujavisoma

Tuwakatae vibwetete na Vimakenzie kwenye Taifa letu,Kama kweli wana uchungu na wao sio vigeugeu watuombe msamaha kwa kutuambia lowasa fisadi,Bwawa la Mwalimu Nyerere ni mradi safi,ubinafsishaji wa sekta ya Bank umekuza uchumi

Tunahitaji mabadiliko bandarini lakini akina kibwetere na Mecknzie waanze wao kufunga hadi kufa halafu sisi wananchi tutakuwa wa mwisho kufunga
We Mjukuu wa Mangungo, hapa tunajadili Mkataba wa Bandari
 
Back
Top Bottom