DolphinT
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 1,308
- 1,828
Leo nimepanda Gari kutoka sehemu fulani mkoa wa Pwani kuelekea Dar es Salaam
Nilichokiona Ni Trafik police anapiga gari mkono Kama ishara ya kusimamisha gari.
Dereva anaweka mbele halafu konda anashuka anaelekea walipokaa trafick police
Hakuna Askari anayekuja kufanya ukaguzi, konda anarejea na Safari inaendelea.
Nikawa mdadisi kwa dereva, alichonijibu Ni kuwa katika vituo vinne tulivyopita Kila kituo unatakiwa kulipia 5000 ambayo hupewi risiti
Je fedha hii ingeingia serikalini si tungeboresha mapato? Mana kwa siku ni mpunga mrefu !
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichokiona Ni Trafik police anapiga gari mkono Kama ishara ya kusimamisha gari.
Dereva anaweka mbele halafu konda anashuka anaelekea walipokaa trafick police
Hakuna Askari anayekuja kufanya ukaguzi, konda anarejea na Safari inaendelea.
Nikawa mdadisi kwa dereva, alichonijibu Ni kuwa katika vituo vinne tulivyopita Kila kituo unatakiwa kulipia 5000 ambayo hupewi risiti
Je fedha hii ingeingia serikalini si tungeboresha mapato? Mana kwa siku ni mpunga mrefu !
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app