Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Naona kuna zengwe jingi na mikwara kibao, baina ya watawala na kundi fulani la kijamii kuhusu kuhesabiwa na kutohesabiwa.
Naombeni ufafanuzi wadau, kuhusu sheria ya takwimu ya mwaka 2002, kama imetamka adhabu yoyote kwa mtu atakaegoma kutoa taarifa zake kwa karani wa sensa.
Naombeni ufafanuzi wadau, kuhusu sheria ya takwimu ya mwaka 2002, kama imetamka adhabu yoyote kwa mtu atakaegoma kutoa taarifa zake kwa karani wa sensa.