Kura zinaendelea kupigwa na mpaka sasa idadi kubwa ya wachangiaji wanaamini kuna mkono wa serikali katika kutekwa na kupotea kwa raia nchini.Kama makonda alijua kina Roma watapatikana kabla ya jumapili (jumamosi) serikali (makonda na magufuli) walikuwa wanajua walikowapeleka.
Ney alikuwa tishio bila shakaKwa nini serikali imteke Roma, Roma hajawahi kuwa tishio kwa serikali na wala si tishio kwa serikali. Kwa nini wasimteke mtu kama Lissu ambaye ni tishio kwao waje kumteka Roma au Ben ?
Ni wazi huu utekaji lengo ni kuichafua serikali, ni vyema vyombo vya dola vikawa makini sana na hili suala, wahakikishe yoyote anayehusika apatikane kwa gharama yoyote. Narudia Roma hajawahi na si tishio kwa serikali, sidhani hata wakuu wa vyombo vya usalama hao wazee walikuwa wanajua kuna mtu anaitwa Roma.
Kwa mambo yanayoendelea hapa nchini ni vigumu kutoihusisha serikali na vitendo vya uvamizi, utekaji nyara na kupotea kwa raia nchini.
Matokeo ya kura hii yatatupa taswira ya hali hii iliyojaa utatanishi mkubwa na kuwatia woga raia wema wa taifa hili.
Hakuna haja ya kuandika mengi, piga kura yako kulingana na unavyoamini halafu kaa umbali wa mita mia mbili usubiri matokeo!
Mtandaoni kura haziibiwi na hakuna tume ya kuchakachua kura! Ukimkuta mtu anaandika kwa kutumia herufi kubwa kama ulivyofanya, huyo hana tofauti na kipenzi cha Magufuli aka Bashite!HAHAHAHA NAKUMBUKA KURA ZA MAONI KUHUSU DR SLAA ....ALISHINDA MTANDAONI LAKINI KWENYE BOX LA KUPIGIA KURA...
UKIWA HUKU MTANDAONI WAWEZA DHANI NCHI IMESIMAMA KUMBE SIVYO...
KUNA TANZANIA YA MITANDAONI NA TANZANIA YA MTAANI.
Ikiwa haihusiki na utekaji, kwa nini mara zote imekataa wito wa kuunda tume huru ya kijaji ili ichunguze jambo hili hatari? Jiulize swali hili rahisi na ujijibu!Serikali haihusiki wala haijui wanaohusika. (ni mawazo yangu tu)
It pains to the heart that Tanzania of Julius Nyerere has come to that depth of lawlessness. Oh Almighty God save our necks from this tyranny.Fikiria serikali inayomkumbatia na kumpakata jambazi anayeteka kituo cha habari...hiyo serikali inaweza kufanya chochote!
Acha upuuzi wako, hii serikali inachafuliwa au inajichafua yenyewe...utachafuaje kilicho chafu tayari? Fikiria serikali inayomkumbatia na kumpakata jambazi linalovamia kituo cha habari. Fikiria serikali ambayo kiongozi wake mkuu anadiriki kuvunja katiba aliyoapa kuilinda na kuitetea na kwa kuendelea kumlinda Bashite, imekosa kabisa uhalali wa kukemea uovu.Watapana lakini hawatashinda!!mtaichafua serikali lakini hamtashinda!!shame on you
Kwa mambo yanayoendelea hapa nchini ni vigumu kutoihusisha serikali na vitendo vya uvamizi, utekaji nyara na kupotea kwa raia nchini.
Matokeo ya kura hii yatatupa taswira ya hali hii iliyojaa utatanishi mkubwa na kuwatia woga raia wema wa taifa hili.
Hakuna haja ya kuandika mengi, piga kura yako kulingana na unavyoamini halafu kaa umbali wa mita mia mbili usubiri matokeo!