JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,525
- 7,593
Ni Number Plate ndugu.
ukiiangalia kwa umakini,ume-edit wewe hiyo plate number mkuu
ukiiangalia kwa umakini,ume-edit wewe hiyo plate number mkuu
Msisumbuke na huyu kiumbe ataviacha vyote hivyo muda si mrefu. Siku hazigandi! Kila jambo halikosi kuwa na mwisho
Naomba huu uzi usindikizwe na kibao murua cha gospel.
"Nina Baba yangu asiyeshindwa kamwe...
Hii pikipiki hapo mbele mbn haina no za bongo
Hata video huoni??ukiiangalia kwa umakini,ume-edit wewe hiyo plate number mkuu
Maneno ya kimaskini hayo, unafikiri hii Dunia imeanza jana?
Hata kidogo uwe unatumia akili hiyo video ya milad ayo ime editiwa wapiNaona watu wengi wanamtuhumu makonda ila ukweli ni kwamba iyo gari iko edited
So u mean Kasma ya Mkoa wa Dar imefanya Bashite anunuliwe Range Rover? So Kasma ya Mkoa kama Kigoma si watakua wananunuliwa punda sasaWakuu wa Mikoa hununuliwa magari ya kazi na Makatibu Tawala wa Mikoa yao yaani kutoka kasma(vote)ya mkoa husika ndiyo maana magari ya Wakuu wa Mikoa hayafanani tofauti na magari ya Wakuu wa Wilaya ambayo hununuliwa kutoka kasma ya Ofisi ya Waziri Mkuu na utakuta mara nyingi hufanana ikitegemeana yalinunuliwa katika kipindi gani
Pimbi ni wewe usiejua account ya mtu ina kiasi gani ila kujishaua mitandaoni kuwa hawawezi kununua kitu fulani! Nani amekwambia hi RR ni ya Makonda! Fanya kazi wewe chuki zako kwa Makonda hazikuongezei salio kwenye akaunti yako!We pimbi kweli ebu jaribu kugawa mshahara wa tsh/m10 ($4454.5) na gari ambalo kuliingiza barabarani Tanzania minimum expenditure ni zaidi $110,000 wewe unadhani kwanini matajiri wanatumia njia za panya.
Mtu huyo huyo anamiliki ford ranger anajenga mwanza. Kwa income gani dogo ni fisadi tu.
Uwege makini na wewe sio kutoa vineno neno hovyoEmotions siku zote huathiri uwezo wa kufikiri, kwani ameonekana na hiyo gari au ndo mazoea ya kuhukumu watu? Amini nawaambia kila anaeamini kile macho yanachokiona ni mpumbavu coz vingine ni ulaghai
Wazandiki gani upuuzi mtupu mmekuwa watu wa kulalamika tu baada ya kufanya kazi ?
Serikali ina kila aina ya nyanzo zote za usalama kwa nini isiwakamate hawa watu waliocopy namba ya RC.
Hii kitu mbona iko straightfoward. Makonda kaenda ZnZ, kufika kule wenyeji walimuandalia gari ambayo ni hio RR sasa kwenye utambulisho ndio likawekewa namba RC DSM! Vinginevyo mnafikiri kaipandisha meli hio RR? Gari anayotumia RC DSM hapa hapa DSM ni Toyota Land Cruiser VX V8...2016 ya Dark Brown color mfano wake hio hapo chini