GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,705
- 109,137
"Tafadhali ewe Mtanzania fanya kila uwezalo na kama una Babu yako Mganga wa Kienyeji mwambie asaidie kwa Ndumba ili Taifa Stars iifunge Zambia na hata tulicheza na Congo DR tushinde pia"
Kuna Mtu miaka ya nyuma aliwahi kuniambia kuwa kama kuna Media ambayo Watumishi wake Wanarogana / Wanapigana mno Misumari ni TBC nikambishia Ila baada ya Kumsikia Mtangazaji yule kila mara akihimiza Ulozi na Uganga sasa GENTAMYCINE nimeamini rasmi.
Kwa ninavyowajua Wakongo leo labda tu Turoge tupunguze Magoli, ila tusipoteze muda kabisa Kuwaroga ili tuwafunge kwani kama ni Ndumba (Kikongo wanaita KINDOKI) wao ndiyo Walimu na Congo DR ndiyo Makao Makuu yake.
Tuendeleeni tu na Hesabu za Vidole.
Kuna Mtu miaka ya nyuma aliwahi kuniambia kuwa kama kuna Media ambayo Watumishi wake Wanarogana / Wanapigana mno Misumari ni TBC nikambishia Ila baada ya Kumsikia Mtangazaji yule kila mara akihimiza Ulozi na Uganga sasa GENTAMYCINE nimeamini rasmi.
Kwa ninavyowajua Wakongo leo labda tu Turoge tupunguze Magoli, ila tusipoteze muda kabisa Kuwaroga ili tuwafunge kwani kama ni Ndumba (Kikongo wanaita KINDOKI) wao ndiyo Walimu na Congo DR ndiyo Makao Makuu yake.
Tuendeleeni tu na Hesabu za Vidole.