Am For Real
Senior Member
- Nov 21, 2023
- 191
- 496
TUPUUZE HUU UPUUZI.UZI UFUTWE.ONE LOVE.
Biblia inakataza hayo mambo yote niliyoandika na uwezo wa kwenda kuzimu ni hivi hivi unajiona.Swali la hovyo kabisa
Sasa shida iko wapi mkuuNi swali ambalo nimekuwa nikiliwaza Sana.Hivi ni kweli mzazi (Baba au Mama) anapopatwa na majanga kama vile kupooza mwili, Magonjwa ambayo inampasa kusaidiwa au umri wake kwenda na kushindwa kujihudumia, je ni sahihi kuchukua hatua kama mtoto kumsaidia katika mambo kama vile;Kumuogesha, Kumsaidia anapoenda msalani, Kumvalisha nguo.
Pia Kuna uhalali wowote wa mtoto kumfulia mzazi wake nguo za ndani pindi umri wake unapoenda na hawezi kujitunza?
Kama mtoto ni mwanaume je ataruhusiwa kufua nguo za ndani za mama yake aliyezeeka?
Au ataruhusiwa kufua nguo za ndani za Baba yake aliyezeeka?
Kama mtoto ni mwanamke je ataruhusiwa kufua nguo za ndani za Baba yake aliyezeeka ?
Au ataruhusiwa kufua nguo za ndani za Mama yake aliyezeeka?
Je Kuna uhalali wowote Mtoto anaposhuhudia nguo za ndani wazazi wake(Mama au Baba)zimeanikwa kwenye kwamba wazi wazi?
Je pale ambapo mtoto yupo nyumbani na Mama au Baba yake walianika nguo za ndani nje wazi wazi alafu mvua ikataka kunyesha mtoto akakimbilia kuzianua, unaporudi nyumbani kama mzazi kukuta nguo zako za ndani zimeanuliwa na watoto unajiskiaje?
Utakuwa huna wazazi bazazi kelbuSwali la hovyo kabisa
na mimi nakuuliza swali lenye maudhui kama hayo;Kama mtoto ni mwanaume je ataruhusiwa kufua nguo za ndani za mama yake aliyezeeka?