Elimu ya tanzania kimsingi haituandai kuwa waajiri bali waajiriwa.Ukweli unajidhihirisha ktk mitaala mpaka ya chuo.Mimi mtoto wa mkulima wa kijijini tena kabila la Lowasa nilipitia mlimani<udsm> na kumaliza salama.Awali ckuwa na wazo la kujiajiri,nimelipata sasa.Taabu iliyo mbeleni ni watu kuanza maneno ya kukatishana tamaa mwanzo wa safari!Nimechoka kuomba msaada na kuzunguka na bahasha za kaki kila ofisi huku masekretari wakitoa majibu machafu pasi kujua sie pia watafutaji. NAOMBA MAWAZO YAKINIFU YENYE MASHIKO yatakayo nifikisha ktk maisha bora na c bora maisha. NAWASILISHA!