Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
Kwa karibu siku kadhaa sasa nilikuwa najiuliza maswali kwamba labda Tanzania tupate kiongozi aliye mzalendo wa kweli mwenye hulka za kijamaa kidogo.. Lakini katika mawazo yangu nimekuwa najiuliza kuwa Tanzania tumeingia kwenye mfumo wa Soko huria bila kufuata misingi yake.
Kwa Kipindi cha miaka 20 iliyopita Tanzania tumekuwa tunafuata Free market na demokrasia ya vyama vingi, lakini katika kipindi hicho tumeshuhudia Taifa Letu likigeuzwa kuwa sehemu ya watu wachache na wageni kufaidi zaidi kuliko wengine na wananchi wa Tanzania, Je katika hatua tuliyofikia ni nani aliye mzalendo wa kweli na wa kupenda Taifa lake yaani mwenye mawazo ya uzalendo Zaidi Je ni Mheshimiwa Zitto Dr Slaa, au Pinda, Rais wetu Kikwete Je ni nani ambaye tunaweza kufuata mawazo yake??
Kwa Kipindi cha miaka 20 iliyopita Tanzania tumekuwa tunafuata Free market na demokrasia ya vyama vingi, lakini katika kipindi hicho tumeshuhudia Taifa Letu likigeuzwa kuwa sehemu ya watu wachache na wageni kufaidi zaidi kuliko wengine na wananchi wa Tanzania, Je katika hatua tuliyofikia ni nani aliye mzalendo wa kweli na wa kupenda Taifa lake yaani mwenye mawazo ya uzalendo Zaidi Je ni Mheshimiwa Zitto Dr Slaa, au Pinda, Rais wetu Kikwete Je ni nani ambaye tunaweza kufuata mawazo yake??
Last edited: