Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,833
Siku za nyuma niliajiriwa na benki moja ya biashara hapa mjini nikiwa idara ya mikopo. Thanks God, vijisenti vya kutumia vikawa havinipigi chenga. Nikapata marafiki kedekede, wake, waume, watoto na hata wazee.
Ikatokea bahati mbaya, nikapata matatizo kazini, marafiki wote wakakimbia. Hata nikiwapigia simu kuna ambao walikuwa hawapokei kabisa simu zangu, nabaadhi wakipokea walikuwa wanasema , ngoja kidogo ntakuigia, na wasipige tena.
Sasa nafanya kazi shirika moja la UN, ninaishi nyumba nzuri, nina gari zuri..... Yaani Mungu amenifungulia milango.
Marafiki wa zamani ndio wanajidai kunipia, na kuniomba tukutane.
Nikikomenti chochote kwenye FB, wanashadadia kwa nguvu zote.
Kila commenty yangu ina pambwa na like kibao.
Jamani wana JF wenzangu, jifunzeni namna ya kutafuta marafiki bora, na si bora marafiki.
Ikatokea bahati mbaya, nikapata matatizo kazini, marafiki wote wakakimbia. Hata nikiwapigia simu kuna ambao walikuwa hawapokei kabisa simu zangu, nabaadhi wakipokea walikuwa wanasema , ngoja kidogo ntakuigia, na wasipige tena.
Sasa nafanya kazi shirika moja la UN, ninaishi nyumba nzuri, nina gari zuri..... Yaani Mungu amenifungulia milango.
Marafiki wa zamani ndio wanajidai kunipia, na kuniomba tukutane.
Nikikomenti chochote kwenye FB, wanashadadia kwa nguvu zote.
Kila commenty yangu ina pambwa na like kibao.
Jamani wana JF wenzangu, jifunzeni namna ya kutafuta marafiki bora, na si bora marafiki.