Leo katika pita pita zangu maeneo ya sokoni.
Nikiwasikia wamama wawili wakishauriana kwamba waache Matumizi ya majani ya chai na wajikite zaidi katika Matumizi ya viungo vya chai kama mdalasini na vinginevyo kwa sababu majani ya chai eti yanaharibu "kongosho"
Je, wakuu hili jambo ni la kweli?
Nikiwasikia wamama wawili wakishauriana kwamba waache Matumizi ya majani ya chai na wajikite zaidi katika Matumizi ya viungo vya chai kama mdalasini na vinginevyo kwa sababu majani ya chai eti yanaharibu "kongosho"
Je, wakuu hili jambo ni la kweli?