Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
hivi mwanaume anayeondoka home asubuhi halafu anarudi saa 7au8 wakati normal time ya kurudi home ni saa moja kwa ajili ya foleni,hata hatext wala haemail kwamba atachelewa kurudi je ni haki,eti ni weekend anaspend na marafiki zake