Je, Mhe. Zitto Akamatwe na Kushtakiwa Kwa Kuidhalilisha Taasisi ya Urais Kwa Kudai Fedha za Leo Sio Gawio ni Maduhuli?

Wanabodi,

Leo taifa limetangaziwa huku tukishuhudia live kupitia matangazo ya moja kwa moja, live kupitia kwenye TV, rais akatutangazia kuwa fedha hizo ni gawio la serikali, na muda mfupi baada ya tukio hilo, Mhe. Zitto akaibuka na taarifa yake kuwa fedha hizo sio gawio, ni maduhuli.

Nimepandisha uzi huu kufuatia hoja za mwana jf huyu


Mkuu ZZK, nimezisoma hoja zako na kuzielewa ila ni za uchochezi kutaka kumfanys rais wetu aonekane muongo na tukio lile ni usanii!.
  1. Kwa sisi ambao sio wachumi, any income ni profits, hivyo chochote ambacho serikali imepata mgao wake kutokana na income ya taasisi zake hivyo ni sahihi kabisa kuita gawio la mapato yao!.
  2. Maana ya gawio ni mgao na sio lazima dividends.
  3. Faida ni fedha yoyote unayoipata extra, hivyo kwa mgao huo, serikali imepata faida.
  4. Sii ulaghai, bali huo ndio ukweli wenyewe, gawio hilo ni faida kwa serikali.
  5. Hata kama hakuna faida, then gawio hilo ni mgao halali wa 15% ya serikali.
  6. Maadamu yameishawekwa kisheria, neno gawio hapa linamaanisha kile unachogawa, iwe ni mchango, mgawo, gawio, call it what you may, serikali imegaiwa, hivyo kilichopokelewa ni gawio la mgao wa serikali.
  7. Amewaleta ili Watanzania tuone, jinsi serikali yetu inavyofanya kazi, na amini usiamini, kuanzia mwaka huu wa fedha, kutakuwa na tukio la TRA kwa walipa kodi wakubwa nao pia watatangazwa na vyeti vya recognition wapewe!.
  8. Zitto usipotoshe, Watanzania hatuja danganywa, zile hundi ni za ukweli, ni gawio halali kwa serikali yetu na fedha hizo zote zimeingia mfuko mkuu hazina na nchi imepata pesa!.
Hata kama fedha hizo ni za maduhuli na sio gawio, jee kuna tatizo gani zikiitwa gawio?!. Sote tulioangalia live, tumeshuhudia hundi za gawio zikitolewa, sasa iweje mtu tuu ajiibukie na kuita ni maduhuli?.

Nauliza jee mnaonaje tukishauri Mhe. Zitto akamatwe na kushitakiwa kwa uchochezi wa kumdhalilisha rais wa JMT na kuidhalilisha taasisi ya urais?.

Rais wa nchi ni kama baba kwenye familia, sio mtu, huyu ni an institution, na kwa mujibu wa katiba yetu, rais wetu hawezi kukosea ndio maana hashitakiwi. Hata kama Zitto ni mkweli na hayo ni maduhuli na sio gawio, kama rais kasema ni gawio, then ni gawio!. The boss is always right!.

Haiwezekani rais wetu aseme kitu hiki halafu atokee mtu mwingine, ambishie rais!. Huu ni utovu wa nidhamu!.

Hii sii mara ya kwanza kwa Mhe. Zitto kutoa kauli za kichochezi, tulipotangaziwa na rais wetu kuwa tumenunua ndege mpya , Zitto aliibuka na kudai ndege sio mpya, ni chakavu na kudai kuwa ni ndege za mtumba. Mimi nilishauri
Zitto Zuberi Kabwe Ni Mchochezi, Akamatwe, Ashitakiwe Kwa Uchochezi, Adai Rais Magufuli ni...
P.
Habari za Dodoma Paskal, Kozi fupi Dom. ilikufundisha kuwa maoni binafsi ni uchochezi, okay safi sana.
 
Unapenda kupotezwa sio? We jibu hoja mzee, acha kukimbilia mambo ya kupotezwa, mara kufichwa! Akili nunda sana hii kuwaza eti ili kumaliza hoja suluhu ni kuuana! ! !
Nimesema kuwa wakati wa JK pato la TCAA kupitia tozo mbalimbali lilikuwa ni milioni 800 sasa hivi ni bilioni 7, Zitto anakosa kabisa shukrani kwa watendaji wetu ambao wameweza kupandisha pato. Anafanya siasa mbaya sana za kinafiki kwa faida zake mwenyewe.

Whether maduhuli ni yale yale ya miaka yote lakini japo aheshimu namna ambavyo watendaji wa mamlaka mbalimbali wanavyofanya kazi kwa nia ya kuboresha pato kuu la taifa. Hawa hawa wataalam ambao haheshimu kazi zao, ndio huwa anawafuata na kuomba taarifa mbalimbali, alizoea kuifitini awamu ya JK, this time ameumia.
 
Wanabodi,

Leo taifa limetangaziwa huku tukishuhudia live kupitia matangazo ya moja kwa moja, live kupitia kwenye TV, rais akatutangazia kuwa fedha hizo ni gawio la serikali, na muda mfupi baada ya tukio hilo, Mhe. Zitto akaibuka na taarifa yake kuwa fedha hizo sio gawio, ni maduhuli.

Nimepandisha uzi huu kufuatia hoja za mwana jf huyu


Mkuu ZZK, nimezisoma hoja zako na kuzielewa ila ni za uchochezi kutaka kumfanys rais wetu aonekane muongo na tukio lile ni usanii!.
  1. Kwa sisi ambao sio wachumi, any income ni profits, hivyo chochote ambacho serikali imepata mgao wake kutokana na income ya taasisi zake hivyo ni sahihi kabisa kuita gawio la mapato yao!.
  2. Maana ya gawio ni mgao na sio lazima dividends.
  3. Faida ni fedha yoyote unayoipata extra, hivyo kwa mgao huo, serikali imepata faida.
  4. Sii ulaghai, bali huo ndio ukweli wenyewe, gawio hilo ni faida kwa serikali.
  5. Hata kama hakuna faida, then gawio hilo ni mgao halali wa 15% ya serikali.
  6. Maadamu yameishawekwa kisheria, neno gawio hapa linamaanisha kile unachogawa, iwe ni mchango, mgawo, gawio, call it what you may, serikali imegaiwa, hivyo kilichopokelewa ni gawio la mgao wa serikali.
  7. Amewaleta ili Watanzania tuone, jinsi serikali yetu inavyofanya kazi, na amini usiamini, kuanzia mwaka huu wa fedha, kutakuwa na tukio la TRA kwa walipa kodi wakubwa nao pia watatangazwa na vyeti vya recognition wapewe!.
  8. Zitto usipotoshe, Watanzania hatuja danganywa, zile hundi ni za ukweli, ni gawio halali kwa serikali yetu na fedha hizo zote zimeingia mfuko mkuu hazina na nchi imepata pesa!.
Hata kama fedha hizo ni za maduhuli na sio gawio, jee kuna tatizo gani zikiitwa gawio?!. Sote tulioangalia live, tumeshuhudia hundi za gawio zikitolewa, sasa iweje mtu tuu ajiibukie na kuita ni maduhuli?.

Nauliza jee mnaonaje tukishauri Mhe. Zitto akamatwe na kushitakiwa kwa uchochezi wa kumdhalilisha rais wa JMT na kuidhalilisha taasisi ya urais?.

Rais wa nchi ni kama baba kwenye familia, sio mtu, huyu ni an institution, na kwa mujibu wa katiba yetu, rais wetu hawezi kukosea ndio maana hashitakiwi. Hata kama Zitto ni mkweli na hayo ni maduhuli na sio gawio, kama rais kasema ni gawio, then ni gawio!. The boss is always right!.

Haiwezekani rais wetu aseme kitu hiki halafu atokee mtu mwingine, ambishie rais!. Huu ni utovu wa nidhamu!.

Hii sii mara ya kwanza kwa Mhe. Zitto kutoa kauli za kichochezi, tulipotangaziwa na rais wetu kuwa tumenunua ndege mpya , Zitto aliibuka na kudai ndege sio mpya, ni chakavu na kudai kuwa ni ndege za mtumba. Mimi nilishauri
Zitto Zuberi Kabwe Ni Mchochezi, Akamatwe, Ashitakiwe Kwa Uchochezi, Adai Rais Magufuli ni...
P.
Profit can be income but income may not be profit. Kwanza tunataka tujue maana halisi ya neno maduhuli. Alafu zito hana hoja kabisa. Labda angesema hizo ela zilizoonyeshwa ni kiini macho kidogo ningemuelewa. Kama pesa ipo na inaingia serikalini kuna tatizo gani. Kwa hiyo tatizo lake ni kutumika jina la gawio na si maduhuli? Mi nawaza tu kipindi hiki watu hawaongelei tena ufisadi na upotevu wa pesa, wanaongelea maduhuli na gawio. Hii inaonyesha ni jinsi gani serikali hii inavyofanya kazi vizuri
 
Kiukweli haya mashirika mengi yalikuwa yanapata faida ila faida hizo walikuwa wanatumia kama mali zao binafsi na kusahau ile ni keki ya taifa ambayo watu wote wanapaswa kuifaidi tuliona baadhi ya mashirika yakijilipa posho nene ingawa sio kosa lakini nyingine zilizidi na matumizi ya kifahari huku wakisahau kuwa hayo makampuni yalianzishwa kwa kodi za wananchi.
Zitto binafsi amefaidi sana hayo mashirika akiwa mwenyekiti wa PAC kwa kuanzisha vingo feki na kuchots pesa hizo lakini kwa kuwa mwanya umezibwa lazima alalmike lakini sioni busara ya kukamatwa kwani Zitto anatafuta kila njia akamatwe ili apate kick
 
Bro Pasko,na ikiwa mwenyewe alisema?Na alichokisema kina chembe hizo?
IMG_20180724_070052.jpg
_20180723_192400.JPG
 
Zitto is wrong. Anawadanganya watu kwa kiki za kisiasa. Kila mhasibu anajua mashirika ya umma nayo yana kitu kinaitwa Surplus kinachopatikana na simple equation: Receipts - Expenditures = Surplus.(Makusanyo toa Matumizi). Kwa lugha ya kiswahili ningesema ni FAIDA. Ni kitu hicho hicho kwa makapuni kwa lugha tofauti, yaani Revenues - Costs= Profit (Mapato toa Gharama = Faida). Huyu mtu ana lake jambo. Si bure.
Mashirika mengi Receipts ni ndogo kuliko Expenditures huo ndo ukweli
 
Zitto is wrong. Anawadanganya watu kwa kiki za kisiasa. Kila mhasibu anajua mashirika ya umma nayo yana kitu kinaitwa Surplus kinachopatikana na simple equation: Receipts - Expenditures = Surplus.(Makusanyo toa Matumizi). Kwa lugha ya kiswahili ningesema ni FAIDA. Ni kitu hicho hicho kwa makapuni kwa lugha tofauti, yaani Revenues - Costs= Profit (Mapato toa Gharama = Faida). Huyu mtu ana lake jambo. Si bure.
Ni cost zipi ambazo unazungumzia wewe hapa?! Hizo gharama zako unazotaka kueleza hapa, zina-include tax?
 
Hivi jaman ninataka kuuliza hivi wale waliosema tutapata zaidi ya Trillion kadhaa kama kodi kutokana na makinikia ilikuwa taasisi gani?

Je, waliudanganya ulimwengu mzima au walisema ukweli nao?
 
Kuna Kampuni ya gas siitaji jina imeuza shares zake zaidi ya miaka 20 iliyopita haijawi kutoa dividend kwa shareholders wake, wengine wanajikongoja na usanii juu halafu kuna mtu anakuja kutudanganya mchana kweupe kweli tumeingizwa cha walevi.
Kampuni ya gesi kuuza hisa zake labda ni kutokana na kuamua kuingiza mtaji mpya/ au uongozi mpya wa kuiendesha. Inawezekana kampuni ilikuwa haipati faida na hivyo kushindwa kutoa gawio ndiyo maana ikaamua kuuza hisa ili ilipate mtaji wa kutosha na manejimenti mpya
 
Zitto ana roho ya ajabu sana. TCAA mwaka juzi imepeleka maduhuli ya shilingi milioni 800, mwaka jana imepeleka maduhuli ya shilingi bilioni tano. Mwaka huu imepeleka maduhuli ya shilingi bilioni saba.

Kwa Zitto hicho sio kitu muhimu, kwake yeye cha muhimu ni kuwababaisha watanzania kwenye lugha ya maduhuli na gawio.

It doesn't matter, cha muhimu ni ongezeko la pato kwenye hazina ya taifa, hizi anazofanya ni siasa za kipuuzi sana.

Wakati mwingine viongozi wa afrika wanaonekana kama vile ni waonevu, kumbe huwa wanashindwa kuvumilia kejeli za kipumbavu kutoka kwa wanasiasa ambao kwao kupata sifa binafsi ni kitu cha muhimu sana.

Haile Mengistu, Obote na wanasiasa waasisi wengine wa bara hili walipoteza sana watu, lakini Mwalimu alikuwa anaishia katika kuwapiga karantini wasitoke nje ya wilaya waliyozaliwa. Urais una mitihani migumu sana.
Come on man, it matters....

Acheni kutetea ujinga ili ku-gain cheap political publicity!!

Mtu anayeelewa unapomuambia shirika X limetoa gawio serikalini; moja kwa moja atakachofahamu ni kwamba shirika husika limetengeneza faida!!

Sidhani kama kuna uongozi unaoweza kutoa gawio from a loss making business, kwa sababu ikiwa biashara haitoi faida, ina maana gawio husika litatoka kutoka kwenye mtaji!!!!!

Kinyume chake, ukisema Taasisi Y imetoa Maduhuli, kwa wanaofahamu watajua kwamba, kwa wao kutoa maduhuli, not necessarily kwamba wawe wamepata faida... labda kiserikali serikali, niseme not necessarily kwamba mapato ya taasisi husika ni makubwa kuliko matumizi yao!

Alichofanya JPM ni kutoa hiyo possibility kwamba, pamoja na taasisi husika kutoa hilo "gawio" lakini inawezekana kabisa inaelemewa na mzigo mkubwa wa gharama!!!

Huo ni ULAGHAI

Endapo JPM na Team yake wasingekuwa addicted na ULAGHAI, walikuwa na uwezo wa kutumia misamiati inayoeleweka lakini isiyopotosha huku wakiendelea kupata mileage kutokana na ongezeko la hayo maduhuli!!

Lakini a liar is always a liar na ndio maana anashindwa ku-capitalize ambacho ndio hasa ame-deserve na kukimbilia kutoa ulaghai kama ilivyo kawaida yake!!!

Ningekuwa JPM ningejisikia aibu sana kuona napigiwa makofi huku nikifahamu fika ni makofi yaliyotokana na ulaghai... na kwamba, kwa makusudi niliamua ku-take advantage ya Watanzani wengi kuwa maamuma na hivyo kuamua kuwalaghai!!!
 
Wanabodi,

Leo taifa limetangaziwa huku tukishuhudia live kupitia matangazo ya moja kwa moja, live kupitia kwenye TV, rais akatutangazia kuwa fedha hizo ni gawio la serikali, na muda mfupi baada ya tukio hilo, Mhe. Zitto akaibuka na taarifa yake kuwa fedha hizo sio gawio, ni maduhuli.

Nimepandisha uzi huu kufuatia hoja za mwana jf huyu


Mkuu ZZK, nimezisoma hoja zako na kuzielewa ila ni za uchochezi kutaka kumfanys rais wetu aonekane muongo na tukio lile ni usanii!.
  1. Kwa sisi ambao sio wachumi, any income ni profits, hivyo chochote ambacho serikali imepata mgao wake kutokana na income ya taasisi zake hivyo ni sahihi kabisa kuita gawio la mapato yao!.
  2. Maana ya gawio ni mgao na sio lazima dividends.
  3. Faida ni fedha yoyote unayoipata extra, hivyo kwa mgao huo, serikali imepata faida.
  4. Sii ulaghai, bali huo ndio ukweli wenyewe, gawio hilo ni faida kwa serikali.
  5. Hata kama hakuna faida, then gawio hilo ni mgao halali wa 15% ya serikali.
  6. Maadamu yameishawekwa kisheria, neno gawio hapa linamaanisha kile unachogawa, iwe ni mchango, mgawo, gawio, call it what you may, serikali imegaiwa, hivyo kilichopokelewa ni gawio la mgao wa serikali.
  7. Amewaleta ili Watanzania tuone, jinsi serikali yetu inavyofanya kazi, na amini usiamini, kuanzia mwaka huu wa fedha, kutakuwa na tukio la TRA kwa walipa kodi wakubwa nao pia watatangazwa na vyeti vya recognition wapewe!.
  8. Zitto usipotoshe, Watanzania hatuja danganywa, zile hundi ni za ukweli, ni gawio halali kwa serikali yetu na fedha hizo zote zimeingia mfuko mkuu hazina na nchi imepata pesa!.
Hata kama fedha hizo ni za maduhuli na sio gawio, jee kuna tatizo gani zikiitwa gawio?!. Sote tulioangalia live, tumeshuhudia hundi za gawio zikitolewa, sasa iweje mtu tuu ajiibukie na kuita ni maduhuli?.

Nauliza jee mnaonaje tukishauri Mhe. Zitto akamatwe na kushitakiwa kwa uchochezi wa kumdhalilisha rais wa JMT na kuidhalilisha taasisi ya urais?.

Rais wa nchi ni kama baba kwenye familia, sio mtu, huyu ni an institution, na kwa mujibu wa katiba yetu, rais wetu hawezi kukosea ndio maana hashitakiwi. Hata kama Zitto ni mkweli na hayo ni maduhuli na sio gawio, kama rais kasema ni gawio, then ni gawio!. The boss is always right!.

Haiwezekani rais wetu aseme kitu hiki halafu atokee mtu mwingine, ambishie rais!. Huu ni utovu wa nidhamu!.

Hii sii mara ya kwanza kwa Mhe. Zitto kutoa kauli za kichochezi, tulipotangaziwa na rais wetu kuwa tumenunua ndege mpya , Zitto aliibuka na kudai ndege sio mpya, ni chakavu na kudai kuwa ni ndege za mtumba. Mimi nilishauri
Zitto Zuberi Kabwe Ni Mchochezi, Akamatwe, Ashitakiwe Kwa Uchochezi, Adai Rais Magufuli ni...
P.
Mna hamu ya kupimwa mkojo na nya nyie,mnawashwaaaaa!
 
Zitto is wrong. Anawadanganya watu kwa kiki za kisiasa. Kila mhasibu anajua mashirika ya umma nayo yana kitu kinaitwa Surplus kinachopatikana na simple equation: Receipts - Expenditures = Surplus.(Makusanyo toa Matumizi). Kwa lugha ya kiswahili ningesema ni FAIDA. Ni kitu hicho hicho kwa makapuni kwa lugha tofauti, yaani Revenues - Costs= Profit (Mapato toa Gharama = Faida). Huyu mtu ana lake jambo. Si bure.
Wewe ndiye una lako jambo--ni gawio au maduhuli?
 
Back
Top Bottom