Je, kweli Samuel Etoo aliwapigia Simba SC na kuwaambia wamsajili Willy Esomba Onana?

Mchezaji kufaulu na kufeli ni kawaida, kwa kiwango cha onana simba day na game na mtibwa onana anajua mpira ila anahitaji muda wa kupata nafasi, ajiamini, aaminiwe na mashabiki ili ikitokea anakosea kama FUNDI chama watu waamini ni kipindi cha mpito tu.

Kama akiwa flop ye si wa kwanza kina torres, di maria, shevchenko na wengine wengi wameshawahi kuwa flop huko.

Swali la msingi ni je samuel etoo alipiga simu, mie naamini 99.9999% si kweli ni mbwembwe tu za ahmed ally.
KUNA WANASIMBA WANAMUAMINI KWA ASILIMIA MIA.
 
Na wewe umekubali kuwa Etoo alipiga simu?

UNAAKILI TIMAMU KWELI????

Nimeandika Ahmed alipokuwa anawatambulisha HAO wachezaji ilikuwa ni viwanja VYA Leaders CLABU
(Simba walikuwa na event na CRDB bank)

Ahmed akatania kwa kusema samwel Etoo ameipongeza Simba kwa Kusajili ukuta WA Yeriko Che Malone Fondoh.

Sema kwasababu wewe si mwelewa ndio maana Huelewi.
 
UNAAKILI TIMAMU KWELI????

Nimeandika Ahmed alipokuwa anawatambulisha HAO wachezaji ilikuwa ni viwanja VYA Leaders CLABU
(Simba walikuwa na event na CRDB bank)

Ahmed akatania kwa kusema samwel Etoo ameipongeza Simba kwa Kusajili ukuta WA Yeriko Che Malone Fondoh.

Sema kwasababu wewe si mwelewa ndio maana Huelewi.
Sawa
FB_IMG_16983907399430423.jpg
 
UNAAKILI TIMAMU KWELI????

Nimeandika Ahmed alipokuwa anawatambulisha HAO wachezaji ilikuwa ni viwanja VYA Leaders CLABU
(Simba walikuwa na event na CRDB bank)

Ahmed akatania kwa kusema samwel Etoo ameipongeza Simba kwa Kusajili ukuta WA Yeriko Che Malone Fondoh.

Sema kwasababu wewe si mwelewa ndio maana Huelewi.
"Rafiki yetu SAMUEL ETOO ndiye aliyetushawishi kumsajili ONANA alisema ni chuma kizito" - Ahmed Ally, Afisa habari wa klabu ya Simba SC.
 
LETENI VIDEO HIYO TUIONE.

TUNASEMA ALITANIA KWA KUSEMA SAMWEL ETOO AMEFURAHISHWA KUSIKIA CHEMALONE FONDOH AMETUA MSIMBAZI.

mbona WATU wengine ni WAJINGA kiasi hicho.

HAPA ni Jamii Forum sio FB
 
TUNAOMBA VIDEO AHMED AKISEMA KUWA ETO AMEPIGIA SIMU SIMBA KUMSAJILI ONANA.

Tunawapa taarifa sahihi kuwa pale Leaders Club Ahmed ALITANIA kuwa amepigiwa simu na Eto kupongeza KUMPATA Chemalone.

1. Etto Ndio RAIS WA shirikisho huko Cameroon.
2. Che Malone Alikuwa Cotton sport Cameroon .
HAPO KUNA UHUSIANO.

Onana ALIKUWA RWANDA
SO HAPA ETO ANAMJUAJE ONANA.

YANGA MPUNGUZE KUJIDHALILISHA.
TUKISEMA WENYE AKILI NI WAWILI TU MTALIA?????????
 
IMG_8024.jpeg


Mashabiki WA Yanga hawajasoma shule.

Mashabiki WA Yanga ni wapumbavu.

Mashabiki WA ya ga ni WAJINGA.


KWA UJUMLA NI TABULALASA
 
"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
Nilimuona kijana mmoja(Ahmedy Ally) kwenye interview akisema kuwa "Samuel Etoo alitupigia simu na kutusihi kuwa tusimuache Esomba Onana"

Je Kuna ukweli wowote au Ahmedy Ally alitaka kuthibisha Yale maneno aliyoyasema Mwenyekiti msitaafu wa Simba sc Rage (Sitoyataja kwa maana yanajulikana).

Endapo Onana kiwango kitaendelea kuwa chini hapo watalaumiwa kamati ya usajili au Samuel Etoo??

Nawasilisha hoja.View attachment 2793756

TABULALASA .

UTOTO RAHA SANA JAMANI
 
Back
Top Bottom