NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,382
- 12,948
- Thread starter
- #21
KUNA WANASIMBA WANAMUAMINI KWA ASILIMIA MIA.Mchezaji kufaulu na kufeli ni kawaida, kwa kiwango cha onana simba day na game na mtibwa onana anajua mpira ila anahitaji muda wa kupata nafasi, ajiamini, aaminiwe na mashabiki ili ikitokea anakosea kama FUNDI chama watu waamini ni kipindi cha mpito tu.
Kama akiwa flop ye si wa kwanza kina torres, di maria, shevchenko na wengine wengi wameshawahi kuwa flop huko.
Swali la msingi ni je samuel etoo alipiga simu, mie naamini 99.9999% si kweli ni mbwembwe tu za ahmed ally.