MFUMO DUME huo. Mwanamke haolewi ili atumikishwe kazi. Kunatakiwa kusaidiana ama sivyo atakuwa kama Punda.
Aaaah kwa kazi gani nazo zitazomchokesha? Mwanamke sharti achakarike mwanaume ni kama mtoto anataka kuenziwa na kutunzwa kwa kila hali
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums