Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,249
- 1,277
Kichwa cha habari chajieleza.
Nimeikuta mahali hii,
Kuna jamaa mwembamba na hajawahi kuwa na mwili japo ana hela na kila kitu. Sasa wanamshambulia eti hanenepi kisa anahusudu sana papuchi.
Je, pana ukweli hapa?
Nimeikuta mahali hii,
Kuna jamaa mwembamba na hajawahi kuwa na mwili japo ana hela na kila kitu. Sasa wanamshambulia eti hanenepi kisa anahusudu sana papuchi.
Je, pana ukweli hapa?