Kuna mifano mingi ya watu waliopata mafao mazuri kama sehemu ya malipo ya kustaafu baada ya utumishi wa umma au sekta nyingine hapa Tanzania.
Lakini mwisho wa siku, hawa watu hupoteza pesa hizo na kujikuta hawana kitu.
Hivi mtu anatakiwa ajiandae vipi? Awekeze katika maeneo gani? Je kweli Tanzania, haina fursa ambazo mtu anaweza kufanya biashara halali, zaidi ya kelele tunazosikia kila siku za ufisadi? Je ni lazima kila mtu awe fisadi ili aishi katika ustaafu wenye neema?
Lakini mwisho wa siku, hawa watu hupoteza pesa hizo na kujikuta hawana kitu.
Hivi mtu anatakiwa ajiandae vipi? Awekeze katika maeneo gani? Je kweli Tanzania, haina fursa ambazo mtu anaweza kufanya biashara halali, zaidi ya kelele tunazosikia kila siku za ufisadi? Je ni lazima kila mtu awe fisadi ili aishi katika ustaafu wenye neema?