NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
Katika pilika za maisha mjini nillikutana na stori ambayo ni mpya masikioni mwangu kutoka kwa watu wazima zaidi yangu na kuniacha na maswali mengi sana. Naomba ufafanuzi wa kitaalamu kutoka kwa madaktari.
Ndugu hawa wanasema upatikanaji wa aina ya mtoto (kwa maana ya jinsia) unategemea na mtu anavyoingia "chimbo". Kama ni mvivu wa kazi basi huwezi kupata mtoto wa kiume bali utaishia kupata mtoto wa kike na kama ukimuona mtu ana watoto wa kike watupu basi ujue huwa ni mvivu sana wa yaleeeee mambo yetu yale. Na kwa stori zao wanasema kuwa kama unataka dume inabidi wakati wa ejaculation ya first round umwage pembeni na ya pili kwa kuwa ina "kasi" zaidi ndiyo umwagie kwa kuwa speed yake ndiyo nzuri kuleta mtoto wa kiume....
Jamani madaktari hebu mnisaidie maana nina ka baby girl na ningependa wa pili awe wa kiume, is this scientific thing to believe au ndio porojo zetu baada ya kuvimbiwa kahawa? Dr. Riwa & Co Msaada unahitajika hapa ili kama zeze kuanzia leo cha kwanza kitoe adhabu ya kufua cha pili na tatu kitafute mtoto....
Ombi: Mods naomba msiahamishie jukwaa la kikubwa, sina access nako na sitaki kuwa na access nako....teheheee
Ndugu hawa wanasema upatikanaji wa aina ya mtoto (kwa maana ya jinsia) unategemea na mtu anavyoingia "chimbo". Kama ni mvivu wa kazi basi huwezi kupata mtoto wa kiume bali utaishia kupata mtoto wa kike na kama ukimuona mtu ana watoto wa kike watupu basi ujue huwa ni mvivu sana wa yaleeeee mambo yetu yale. Na kwa stori zao wanasema kuwa kama unataka dume inabidi wakati wa ejaculation ya first round umwage pembeni na ya pili kwa kuwa ina "kasi" zaidi ndiyo umwagie kwa kuwa speed yake ndiyo nzuri kuleta mtoto wa kiume....
Jamani madaktari hebu mnisaidie maana nina ka baby girl na ningependa wa pili awe wa kiume, is this scientific thing to believe au ndio porojo zetu baada ya kuvimbiwa kahawa? Dr. Riwa & Co Msaada unahitajika hapa ili kama zeze kuanzia leo cha kwanza kitoe adhabu ya kufua cha pili na tatu kitafute mtoto....
Ombi: Mods naomba msiahamishie jukwaa la kikubwa, sina access nako na sitaki kuwa na access nako....teheheee