MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
Wadau wote tunajua Watanzania wenzetu tena Wazalendo wa kweli wenye Uchungu na Raslimali za Nchi yetu yenye Wananchi wake Masikini na Wanyonge walikamatwa na kushtakiwa kwa Kosa la UHAINI Kosa ambalo ADHABU yake ni KIFO.Watanzania hao ni Dr Slaa Mdude na Mwanasheria binafsi.
Katika Mshangao Mkubwa leo Wameachiwa kwa DHAMANA.Tulio ambalo wengi tumeshangazwa na kujiuliza
kwanini Wameachiwa kwa Dhamana tena ya Polisi?Na kwanini hawakufikishwa Mahakamani kusomewa hill Kosa la Uhaini?
Je KOSA la UHAINI lina Dhamana?Tunawaomba Wanasheria Wetu watufafanulie Suala zima hili na pia iwapo Kosa la UHAINI kama lina DHAMANA.
Katika Mshangao Mkubwa leo Wameachiwa kwa DHAMANA.Tulio ambalo wengi tumeshangazwa na kujiuliza
kwanini Wameachiwa kwa Dhamana tena ya Polisi?Na kwanini hawakufikishwa Mahakamani kusomewa hill Kosa la Uhaini?
Je KOSA la UHAINI lina Dhamana?Tunawaomba Wanasheria Wetu watufafanulie Suala zima hili na pia iwapo Kosa la UHAINI kama lina DHAMANA.