Je, Jaji Lewis Makame ashtakiwe kwa kuvuruga Uchaguzi Mkuu mwaka 2010?

Mag3

Platinum Member
May 31, 2008
13,064
22,757
Wanajamvi sitasema sana ila nitaachia hizi takwimu zijisemee! Naomba mchango wenu.

Mwaka​
Idadi ya watu​
Population​
Waliojiandikisha​
Waliopiga kura​
Kura alizopata Raisi vs​
Asilimia ya Watanzania waliojiandikisha​
1995​
29,700,000​
8,929,969​
6,846,681​
4,026,422​
45%​
2000​
33,517,000​
10,088,484​
8,517,648​
5,863,201​
58%
2005​
36,766,356​
16,401,694​
11,875,927​
9,123,952​
56%​
2010​
41,892,895​
20,137,303​
8,626,283
5,276,827
26%

Naomba tuzitafakari kwa makini sana hizo takwimu na hizi zinazofuatia hapa chini. Kwa nini aliyekuwa Mwenyekiti wa NEC, Jaji Lewis Makame, asiburuzwe mahakamani akaeleze ilikuwaje?

Mwaka​
2005​
2010​
Population​
36,766,356​
41,892,895​
Waliojiandikisha​
16,401,694​
20,137,303​
Waliopiga kura​
11,875,927​
8,626,283

Matokeo​
CCM​
9,123,952​
80%​
5,276,827
61%
CUF​
1,327,125​
12%​
695,667
8%
Chadema​
668,756​
6%​
2,271,941
26%

Tufanye nini kuyaepuka haya mwaka 2015? Nawasilisha.
 
Mjipange 2015; siyo mbali

Mhakikishe vijijini mmetoa elimu ya uraia watu wapige kura..

Otherwise mwache mzee wetu ale pension yake kwa amani, ameifanyia mambo mengi mema Tanzania
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom