ghetto lina umeme kabisa
Huyu atakuwa yule wa buku 7 wa lumumba tu. Kama sio Lizabon basi atakuwa Jingalao.
Huyo ni kaka jambazi kabisa
Kijana nadhani hujui maana ya mapitoDuh! Ndio maana wazee wangu waliniambia usidharau mtu mwanangu. Watu wanapitia maisha mengi ya mtihani, hii ndio moja ya hayo mitihani.
Unaitwa huku Nyani Ngabu
Mkuu hicho chumba umekiona?Kijana nadhani hujui maana ya mapito
Yaani mtu amelala kwenye Godoro, anachat alafu unaona yupo kwenye mazingira magumu?