menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 667
wanawake wengi wamekuwa wakiwaachia waume zao au ma bf wao kazi ya kuosha vyombo baada ya mechi na wengine kwa kisingizio cha kuchoka husahau hata kuosha vyombo huamua kuvilia vikiwa vichafu je hii ni sawa? Michango yenu wanajamvini tafadhali!!