Je, hawa wanawake wa kizungu wanaotutokea kwenye mitandao ya kijamii ni wa kweli?

Wakuu poleni na mihangaiko ya kutwa nzima,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo ni kwamba kuna mama mmoja wa kizungu kanitokea facebook kaniomba urafiki nikakubali, baada ya kukubali kanitumia sms inbox Hi, nami nikamjibu.

Baada ya kumjibu kanitumia e-mail yake na kuniambia nimcheki kwa email ili tuweze kuongea vizuri, basi nami nikamcheki. Bila kuchelewa kajibu e-mail kwa kujieleza mwanzo mwisho, mwisho wa e-mail akanitumia picha zake na kunitaka nami nijieleze, basi nikajieleza baada ya hapo kajibu email sasa na kuniambia kuwa yeye ana miaka 41 na mtoto mmoja ila hana mume.

Basi akaniambia kuwa anataka tuwe marafiki ila urafiki wetu uwe wa kimapenzi, mimi nikamwambia wewe ni kama mama yangu coz mimi nina miaka 25 tu. Akasema hilo haliwezi kuwa sababu mimi niko tayari kukupenda na sitakufanya ulie hata siku moja.

Nikasema ngoja nimkubalie nione itakuaje, basi nílipomwambia hivyo akaniambia kuwa yeye amefurahi kusikia hivyo, akawa aniuliza maswali mengi kuhusu mimi nchi yangu mitaani kwetu kuhusu watoto wanaoishi katika mazingira magumu n.k , basi nikamjibu vyote.

Baada ya hapo akanitumia e-mail na kuniambia nimefurahi kukufahamu, basi niko safari kutoka nchi ila nikifika nyumbani nitakutumia zawadi. Nikatulia baada ya siku 4 kupita katuma e-mail kaniambia kuwa amenitumia zawadi nyingi ikiwepo Laptop 1 IPhone 1 Video camera 1 na Bahasha yenye Cheque ya Pound 55000 na vitu kama picha zake nk. Akaniambia kuwa amempa mtu ambaye yupo kwenye mashirika ya watoto, huyo mtu katoka huko kwao kaja Senagol kikazi kwahiyo kamtuma yeye ili aniletee.

Kanipa email ya huyo mtu phone number yake ili nimtafute ili nimpe maelekezo ya namna ya kuweza kunitumia kutoka Senegal hadi Tanzania. Mwisho akaniambia hiyo cheki naweza tumia bank yoyote yenye Visa, akaniambia kuwa hiyo hela nitumie kuwasaidia watoto masikini mtaani kwetu na zingine niweke bank ili inisaidie kwa matumizi yangu na nitumie kuangalia ni wapi pazuri pa yeye kuja kupumzikia atakapo kuja kunitembelea baada ya miezi miwili.

Sasa wakuu je hawa ni wakweli au ndio ule utapeli wa mitandaoni? Maana mtu kukupa pound 55000 na wakati kaona picha zangu tu, hilo ndio inanipa wasiwasi. Pound 55000 ni kama 157million za kwetu.

Huyo aliyetumwa aniletee bado sijamwambia kuhusu mzigo aliyopewa. Sasa naombeni ushauri kwa wale wataalamu wa haya mambo, na je kama ni kweli kuna uwezekano huo mzigo wangu ukatumwa kutoka Senegal kuja Tz ? Na je njia ipi nitatumia niweze kuipata bila usumbufu.
Subiri kuliwa hakunaga maisha ya hivyo
 
Mimi huwa naziona msg hizo kama matangazo ya Tigo na vodacom, yaani sishughuliki nayo.
MTU atakuomba friend request fb, pls angalia profile ,uone mutual friend kama unawafaham, profile yake kwa ujumla.
Sasa weng wao unakuta ana RFK watatu, hakuna mutual friend, picha chache,kajiunga fb hivi krbuni
Usikubalikubali tu marafik wengine wapelelezi wanakuspy.
 
Wakuu poleni na mihangaiko ya kutwa nzima,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo ni kwamba kuna mama mmoja wa kizungu kanitokea facebook kaniomba urafiki nikakubali, baada ya kukubali kanitumia sms inbox Hi, nami nikamjibu.

Baada ya kumjibu kanitumia e-mail yake na kuniambia nimcheki kwa email ili tuweze kuongea vizuri, basi nami nikamcheki. Bila kuchelewa kajibu e-mail kwa kujieleza mwanzo mwisho, mwisho wa e-mail akanitumia picha zake na kunitaka nami nijieleze, basi nikajieleza baada ya hapo kajibu email sasa na kuniambia kuwa yeye ana miaka 41 na mtoto mmoja ila hana mume.

Basi akaniambia kuwa anataka tuwe marafiki ila urafiki wetu uwe wa kimapenzi, mimi nikamwambia wewe ni kama mama yangu coz mimi nina miaka 25 tu. Akasema hilo haliwezi kuwa sababu mimi niko tayari kukupenda na sitakufanya ulie hata siku moja.

Nikasema ngoja nimkubalie nione itakuaje, basi nílipomwambia hivyo akaniambia kuwa yeye amefurahi kusikia hivyo, akawa aniuliza maswali mengi kuhusu mimi nchi yangu mitaani kwetu kuhusu watoto wanaoishi katika mazingira magumu n.k , basi nikamjibu vyote.

Baada ya hapo akanitumia e-mail na kuniambia nimefurahi kukufahamu, basi niko safari kutoka nchi ila nikifika nyumbani nitakutumia zawadi. Nikatulia baada ya siku 4 kupita katuma e-mail kaniambia kuwa amenitumia zawadi nyingi ikiwepo Laptop 1 IPhone 1 Video camera 1 na Bahasha yenye Cheque ya Pound 55000 na vitu kama picha zake nk. Akaniambia kuwa amempa mtu ambaye yupo kwenye mashirika ya watoto, huyo mtu katoka huko kwao kaja Senagol kikazi kwahiyo kamtuma yeye ili aniletee.

Kanipa email ya huyo mtu phone number yake ili nimtafute ili nimpe maelekezo ya namna ya kuweza kunitumia kutoka Senegal hadi Tanzania. Mwisho akaniambia hiyo cheki naweza tumia bank yoyote yenye Visa, akaniambia kuwa hiyo hela nitumie kuwasaidia watoto masikini mtaani kwetu na zingine niweke bank ili inisaidie kwa matumizi yangu na nitumie kuangalia ni wapi pazuri pa yeye kuja kupumzikia atakapo kuja kunitembelea baada ya miezi miwili.

Sasa wakuu je hawa ni wakweli au ndio ule utapeli wa mitandaoni? Maana mtu kukupa pound 55000 na wakati kaona picha zangu tu, hilo ndio inanipa wasiwasi. Pound 55000 ni kama 157million za kwetu.

Huyo aliyetumwa aniletee bado sijamwambia kuhusu mzigo aliyopewa. Sasa naombeni ushauri kwa wale wataalamu wa haya mambo, na je kama ni kweli kuna uwezekano huo mzigo wangu ukatumwa kutoka Senegal kuja Tz ? Na je njia ipi nitatumia niweze kuipata bila usumbufu.
Fanya hivi wasiliana na huyo mtu umsikilize kwanza , ila akikwambia suala la kutoa pesa au account number achana nae, tena mwambie huwa sitapeliwi kifal.a
 
Mkuu ukitoa info za bank hasa hiyo VISA card kitakacho kukuta sijui utamlaumu nani? Yapaswa ujilaumu mwenyewe kwa ujinga.
KAMA HUJAELEWA: Utaibiwa mzigo wako wote bank. Maana wameshajua email yako, umri wako au (DOB), wakijua na namba zako za visa card umeisha kindezi ndezi. Na kwa jinsi ulivyojieleza ni rahisi sana ku-share na tarehe ya ku-expire card yako.
 
Wakuu poleni na mihangaiko ya kutwa nzima,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo ni kwamba kuna mama mmoja wa kizungu kanitokea facebook kaniomba urafiki nikakubali, baada ya kukubali kanitumia sms inbox Hi, nami nikamjibu.

Baada ya kumjibu kanitumia e-mail yake na kuniambia nimcheki kwa email ili tuweze kuongea vizuri, basi nami nikamcheki. Bila kuchelewa kajibu e-mail kwa kujieleza mwanzo mwisho, mwisho wa e-mail akanitumia picha zake na kunitaka nami nijieleze, basi nikajieleza baada ya hapo kajibu email sasa na kuniambia kuwa yeye ana miaka 41 na mtoto mmoja ila hana mume.

Basi akaniambia kuwa anataka tuwe marafiki ila urafiki wetu uwe wa kimapenzi, mimi nikamwambia wewe ni kama mama yangu coz mimi nina miaka 25 tu. Akasema hilo haliwezi kuwa sababu mimi niko tayari kukupenda na sitakufanya ulie hata siku moja.

Nikasema ngoja nimkubalie nione itakuaje, basi nílipomwambia hivyo akaniambia kuwa yeye amefurahi kusikia hivyo, akawa aniuliza maswali mengi kuhusu mimi nchi yangu mitaani kwetu kuhusu watoto wanaoishi katika mazingira magumu n.k , basi nikamjibu vyote.

Baada ya hapo akanitumia e-mail na kuniambia nimefurahi kukufahamu, basi niko safari kutoka nchi ila nikifika nyumbani nitakutumia zawadi. Nikatulia baada ya siku 4 kupita katuma e-mail kaniambia kuwa amenitumia zawadi nyingi ikiwepo Laptop 1 IPhone 1 Video camera 1 na Bahasha yenye Cheque ya Pound 55000 na vitu kama picha zake nk. Akaniambia kuwa amempa mtu ambaye yupo kwenye mashirika ya watoto, huyo mtu katoka huko kwao kaja Senagol kikazi kwahiyo kamtuma yeye ili aniletee.

Kanipa email ya huyo mtu phone number yake ili nimtafute ili nimpe maelekezo ya namna ya kuweza kunitumia kutoka Senegal hadi Tanzania. Mwisho akaniambia hiyo cheki naweza tumia bank yoyote yenye Visa, akaniambia kuwa hiyo hela nitumie kuwasaidia watoto masikini mtaani kwetu na zingine niweke bank ili inisaidie kwa matumizi yangu na nitumie kuangalia ni wapi pazuri pa yeye kuja kupumzikia atakapo kuja kunitembelea baada ya miezi miwili.

Sasa wakuu je hawa ni wakweli au ndio ule utapeli wa mitandaoni? Maana mtu kukupa pound 55000 na wakati kaona picha zangu tu, hilo ndio inanipa wasiwasi. Pound 55000 ni kama 157million za kwetu.

Huyo aliyetumwa aniletee bado sijamwambia kuhusu mzigo aliyopewa. Sasa naombeni ushauri kwa wale wataalamu wa haya mambo, na je kama ni kweli kuna uwezekano huo mzigo wangu ukatumwa kutoka Senegal kuja Tz ? Na je njia ipi nitatumia niweze kuipata bila usumbufu.
unakalibia kulizwa mzeeeeeeeee
 
Hahaha! utalizwa. Hao wanaitwa 419 FRAUD au NIGERIAN SCAMMERS(Waharifu wa kimtandao toka Nigeria). Kwanza unaechat nae ni mwanaume si mwanamke, ukiwapa tu A/C No. yako ya benki utaambulia A/C salio linasoma 0. Mie walijileta wakanpa na Email ya SCOTLAND BANK nikawasiliana nao wakaniambia niwapuuze hao ni wezi. Ingia GOOGLE utakuta hizohizo Emails na shuhuda za watu waliolizwa.
 
Senegal, Ivory cost, Nigeria, west africa ni matapeli.... Na haiingii akilini tu, mtu from no where aanze kukupa kiasi chote hicho cha pesa... Kwa nini asikutumie moja kwa moja...




Cc: mahondaw
 
lol, hakuna mtu mjinga dunia hii atume pesa kwa mtu asiyemjua just kwa email tu, hao ni matapeli wa kinigeria,
ukishaona mtu amekuadd baada ya kuaccept anakutumia email eti muwasiliane jua ni utapeli coz fb ina kila kitu, voice call, video call, message, sehem ya picha n.k, sasa email ya nini hapo, lol mblock huyo harakaa.
 
"....ukitaka kumtapeli mtanzania kwa mafanikio mtie tamaa ya kumpatia pesa za bure na zawadi...."
Jerrytz

Wanaijeria bado wanaendelea kutapeli watanzania walio wajinga wajinga..

Hakuna hela za bure bure tufanye kazi na biashara zetu kwa bidii
 
Wakikuambia tuma hela za gharama ya usafirishaji ndio utajua wako kikazi zaidi.
Endelea kutafuta wengine.
Google ina mambo mengi ya kujifunza,
Wengine mnatumia kutongoza tu haya ndio madhara yake.
 
Back
Top Bottom