Fatma Bawazir
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 492
- 180
kuna tetesi kwamba kiswahili kilizaliwa unguja kikakulia Tanzania bara kikafa kenya na kuzikwa uganda?
Nimesahau KIDUKUyap bado kiko juu huku kikizidi kuongeza misamiati km;
1.SHAROBARO
2.KUSEPA
3.KUCHAKACHUA
4......................
5......................
6
7
8
kuna tetesi kwamba kiswahili kilizaliwa unguja kikakulia Tanzania bara kikafa kenya na kuzikwa uganda?
Kama kimekufa mbona ndo hicho ulichoandika na mimi kujibia hicho! Au mimi sijua maana ya kufa?
Nimesahau KIDUKU