payuka
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 829
- 127
Jamani naombeni Msaada kwa mtu yeyote anayefahamu, ni nani hasa anayejua Shareholders wa Mirambo Company ambaye ina shares kwenye kampuni ya Vodacom Tanzania?
Kuna tetesi ya kwamba Prof. Beno Ndulu ana shares za Kutosha Kwenye Kampuni ya Mirambo, je habari hizi zina- Ukweli?
Hii ni pie-chart niliyoipata kwenye website ya vodacom Tanzania
Kuna tetesi ya kwamba Prof. Beno Ndulu ana shares za Kutosha Kwenye Kampuni ya Mirambo, je habari hizi zina- Ukweli?
Hii ni pie-chart niliyoipata kwenye website ya vodacom Tanzania