Nawaza nje ya Box. Haya ni mawazo japo nimawazo mazito ktk giza nene na kike kina weza tokea siku zijazo.
Nimekuwa mtu napenda kuandika kesho ya Taifa hili ktk mabandiko yangu tofauti tofauti na watu wengine wamekuwa wakihisi nakunidhania hata mm yawezekana nipo ktk list ya watu wanapata nyeti za ikulu.
Ila napenda kukanusha na nina juwa hata watu idara wameshafuwatilia sana uwenda id yangu ila hajakuta either nikiongea au kupata siri za ndani ya Taifa hili japo ktk masomo ya intelligences ndani ya Taifa wapo watu wanaona kesho na aina hii ya watu ni wachache na mara nyingi sana kwa uwezo tulio nao tuna sikia na kuona mambo ya siri ktk hali ambayo hakuna mtu anaweza akadhania au kutafakari.
Unaweza kujiuliza nikiwa nje ya idara nilikuwa nikifuwatilia nakuona kesho Ya Hayati Dk John Pombe Magufuli. Kiukweli huyu Rais nilimpenda sana ila kwa bahati mbaya sana Kuna mambo aliyafanya na hayo yalituacha wengi ktk majonzi. Ukisoma madokezo yangu unaweza ukashituka sana kuliko unavyo soma dokezo la dark days.
Tunaona, tuna nusa na tuna sikia mbaya kuliko yote tuna tambua watu ambao hata wao hawajuwi tuna watambuwa. Aina hii ya uwezo tuna kuwa nao mara nyingi tuna ongozwa na siri. Yes siri ndio kiongozi wetu.
Nimeanza na haya maelezo nilikuwa watanzania wengi hawajuwi kile kilitokea mpaka number one down na hawajajuwa Nini hatima ya Taifa hili na nani yupo nyuma ya mambo wengi tunaona kama kiza kinene.
Niliwahi kuanzisha thread kama tatu ambazo kwa mwenye macho ya mbali anaweza ku connect dot na hiki ambacho kinaendelea. Yes Kuna hali ambayo naweza kusema Taifa lina pita na nimtu akichomoa bettery basi moto unalipuka.
Dk Bashiru amepata wapi nguvu na Mamlaka kuwarushia mawe wanao sema mama anaupiga mwingi na pasiwepo kiongozi yeyote wa juu wa chama akiongea au thubutu kumsema.
Huyu Dkt. Bashiru ukimuona unaweza mchukua poa ila is the most low profile but very high in this nation. Maneno yake na maandiko yake sio tu anayasema ila anatabiri wakati ujao.
Kuna kikundi ndani ya chama kinahisi chenyewe ndio kina haki kuongoza hili Taifa wao na vizazi vyao kundi hili ndio kundi lina isumbua ccm kama unamkumbuka vizuri Hayati Mkapa alipambana sana na hili kundi na hata inasemekana mtot wa kigogo fulan asinge pata nafasi japo Hayati alipinduwa meza akapita.
Ccm ina taka kuwa chama tawala ila ili kuitawala hii nchi hawana budi kupambana na makundi haya ndani ya chama.
Kila mtanzania mwenye akili na uwezo anapaswa kupata fursa ndani ya ccm ila imekuwa ni wao na watoto wao hili limemuibua Dk Bashiru japo ametupoteza kwa wale hatuna maono.
Je Unaweza jiuliza Dk Anapata wapi nguvu kubwa kama hiyo na Vyombo vyote vina piga kimya? Japo pia ukimya ni jibu.... Stay tune
Nimekuwa mtu napenda kuandika kesho ya Taifa hili ktk mabandiko yangu tofauti tofauti na watu wengine wamekuwa wakihisi nakunidhania hata mm yawezekana nipo ktk list ya watu wanapata nyeti za ikulu.
Ila napenda kukanusha na nina juwa hata watu idara wameshafuwatilia sana uwenda id yangu ila hajakuta either nikiongea au kupata siri za ndani ya Taifa hili japo ktk masomo ya intelligences ndani ya Taifa wapo watu wanaona kesho na aina hii ya watu ni wachache na mara nyingi sana kwa uwezo tulio nao tuna sikia na kuona mambo ya siri ktk hali ambayo hakuna mtu anaweza akadhania au kutafakari.
Unaweza kujiuliza nikiwa nje ya idara nilikuwa nikifuwatilia nakuona kesho Ya Hayati Dk John Pombe Magufuli. Kiukweli huyu Rais nilimpenda sana ila kwa bahati mbaya sana Kuna mambo aliyafanya na hayo yalituacha wengi ktk majonzi. Ukisoma madokezo yangu unaweza ukashituka sana kuliko unavyo soma dokezo la dark days.
Tunaona, tuna nusa na tuna sikia mbaya kuliko yote tuna tambua watu ambao hata wao hawajuwi tuna watambuwa. Aina hii ya uwezo tuna kuwa nao mara nyingi tuna ongozwa na siri. Yes siri ndio kiongozi wetu.
Nimeanza na haya maelezo nilikuwa watanzania wengi hawajuwi kile kilitokea mpaka number one down na hawajajuwa Nini hatima ya Taifa hili na nani yupo nyuma ya mambo wengi tunaona kama kiza kinene.
Niliwahi kuanzisha thread kama tatu ambazo kwa mwenye macho ya mbali anaweza ku connect dot na hiki ambacho kinaendelea. Yes Kuna hali ambayo naweza kusema Taifa lina pita na nimtu akichomoa bettery basi moto unalipuka.
Dk Bashiru amepata wapi nguvu na Mamlaka kuwarushia mawe wanao sema mama anaupiga mwingi na pasiwepo kiongozi yeyote wa juu wa chama akiongea au thubutu kumsema.
Huyu Dkt. Bashiru ukimuona unaweza mchukua poa ila is the most low profile but very high in this nation. Maneno yake na maandiko yake sio tu anayasema ila anatabiri wakati ujao.
Kuna kikundi ndani ya chama kinahisi chenyewe ndio kina haki kuongoza hili Taifa wao na vizazi vyao kundi hili ndio kundi lina isumbua ccm kama unamkumbuka vizuri Hayati Mkapa alipambana sana na hili kundi na hata inasemekana mtot wa kigogo fulan asinge pata nafasi japo Hayati alipinduwa meza akapita.
Ccm ina taka kuwa chama tawala ila ili kuitawala hii nchi hawana budi kupambana na makundi haya ndani ya chama.
Kila mtanzania mwenye akili na uwezo anapaswa kupata fursa ndani ya ccm ila imekuwa ni wao na watoto wao hili limemuibua Dk Bashiru japo ametupoteza kwa wale hatuna maono.
Je Unaweza jiuliza Dk Anapata wapi nguvu kubwa kama hiyo na Vyombo vyote vina piga kimya? Japo pia ukimya ni jibu.... Stay tune