M mwl JF-Expert Member May 25, 2011 1,101 913 Jun 4, 2011 #1 Kijana mmoja aliipuliza akatoka na gari njiani akamgonga trafic, akatafuta kibanda cha simu akapiga 999 akawaambia: "WASHKAJI EEEH SASA MMEBAKIA 998"
Kijana mmoja aliipuliza akatoka na gari njiani akamgonga trafic, akatafuta kibanda cha simu akapiga 999 akawaambia: "WASHKAJI EEEH SASA MMEBAKIA 998"
M mwl JF-Expert Member May 25, 2011 1,101 913 Jun 5, 2011 Thread starter #4 Jaluo_Nyeupe said: ahahaaa, mkuu sio 991 or 112? Click to expand... Mkuu jamaa nishai ishamkaa alijua ni zile namba za zamani.
Jaluo_Nyeupe said: ahahaaa, mkuu sio 991 or 112? Click to expand... Mkuu jamaa nishai ishamkaa alijua ni zile namba za zamani.
senator JF-Expert Member Aug 9, 2007 1,924 66 Jun 5, 2011 #5 Kwa kumgonga huyo mmoja manake wamebaki 999-1=998 ndivyo ganja lilivyomtuma kuwa amededisha mmoja!