Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,507
- 113,629
Wanabodi
Kuna huu msemo, "Everything a man can do, a woman can do", kumaanisha hakuna kazi za kike na za kiume, kila kazi inayofanywa na mwanaume, inaweza kufanywa na mwanamke.
Moja ya kazi rahisi sana ni kazi ya utangazaji, ila inahitaji kipaji. lakini kwa upande wa utangazaji wa mpira wa miguu redioni, mpaka sasa kwa hapa nchini Tanzania, tumewahi kuwa na mtangazaji mwanamke mmoja tu aliyetangaza Mpira.
Mtangazaji huyu, the one and only ni, Halima Mchuka, aliyefariki miaka 10 iliyopita na viatu vyake havijapata mrithi hadi leo!.
Leo ni kumbukumbu ya miaka 10 ya kifo cha Halima Mchuka.
RIP Halima Mchuka, Shujaa wa kwanza wa Utangazaji Mpira kwa Mtangazaji Mwanamke Tanzania.
P.
Kuna huu msemo, "Everything a man can do, a woman can do", kumaanisha hakuna kazi za kike na za kiume, kila kazi inayofanywa na mwanaume, inaweza kufanywa na mwanamke.
Moja ya kazi rahisi sana ni kazi ya utangazaji, ila inahitaji kipaji. lakini kwa upande wa utangazaji wa mpira wa miguu redioni, mpaka sasa kwa hapa nchini Tanzania, tumewahi kuwa na mtangazaji mwanamke mmoja tu aliyetangaza Mpira.
Mtangazaji huyu, the one and only ni, Halima Mchuka, aliyefariki miaka 10 iliyopita na viatu vyake havijapata mrithi hadi leo!.
Leo ni kumbukumbu ya miaka 10 ya kifo cha Halima Mchuka.
Tribute to Halima Mchuka: Miaka 10 Baada ya Kifo Chake, Her Legacy Still Lives On!, Bado Ndiye "The One and Only" Mtangazaji wa Kike wa Mpira Bongo!.
Wanabodi, Leo ni kumbukumbu ya miaka 10 ya kifo cha mtangazaji huyu mwanamke wa RTD baadaye TBC, Halima Mchuka, aliyefariki siku kama ya leo, miaka 10 iliyopita. Huyu ndiye Mtangazaji mwanamke wa kwanza wa RTD kutangaza mpira redioni , enzi hizo RTD sasa TBC, na mpaka leo ni miaka 10 baada ya...
www.jamiiforums.com
RIP Halima Mchuka, Shujaa wa kwanza wa Utangazaji Mpira kwa Mtangazaji Mwanamke Tanzania.
P.