charityboy
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 138
- 4
Jamani hiki sio kiinimacho? Kweli IPTL, DOWANS zitashughulikiwa kwa hali hii. NAHISI kamati hii ni nzito sana kwa mhe. makamba.
CCM wanatapa tapa - kwa aibu - ngoja wateuane weeeeeeee - kwani Kikwete si alibadilisha baraza lake la mawaziri mara kadhaa - lakini still hakuna cha maana kilichofanyika - lets call these POLITICS - mradi January yuko CCM - hataweza kufanya lolote - CCM wameshafilisi nchi - kama nasema uongo - subiri muone kama miezi ijayo mishahara ya waalimu itakuwepo - just my doubts........... and thinking loud.............
Baba atampa maelekezo ya nini cha kufanya, nyoka hazai nzi bwana
Ni kumnyamazisha tu huyu kijana maana barua yake kwa Ngeleja imeichanganya serikali mpaka kufikia kusema watamjibu yeye mwenyewe sasa waswahili wanasema mchawi mpe mwana akulelee. Sasa January kapwewa mwana kutokana na uchwawi wake wa asubuhi asubuhi! Serikali yetu ni magenous wa mbinu za medani za kisiasa!
Nasolwa you've clicked the right button.JK akifanya mabadiliko ya baraza la mawaziri atampiga chini Ngeleja na kumteua January kuwa waziri wa nishati na madini