wananchi na watanzania tunge pendekeza eneo la Janwani Dar ....pangeegwa ZOO kubwa ndani ya ZOO kungekua na mabwawa ya maji nk. pembezoni ya ZOO kungekua na Barabara kubwa 2 toka Sarenda mpaka Tabata nanyigine toka KIGOGO mpaka ANANASIFU kulikoni panavyo tumika sasa hakuna manufaa kwa jamii wengi 2 au pangekua bwawa kubwa ambalo wangefugwa BOKO..MAMBA NA SAMAKI tofauti lakini yale maji yangetumika kwa huduma za FILE pia kusafishia jiji kwa kutumi FILE nyakati za usiku ndivyo CAIRO .Egiypty wanvyo fanya