Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
you are coming from a broken family with no classic I can't help you sorry
Hivi hiki kizungu kimenyooka hapa?
you are coming from a broken family with no classic I can't help you sorry
Hivi hiki kizungu kimenyooka hapa?
mmmh! naogopa hata kichangia nisije kupewa mabango ya hatari.
Patamu hapo, vp mbona mlengwa kakimbilia mitini tena... Janeeeee weeeee rudi bwana si ulitaka mwenyeweee rudiiiii huku kijana kakufia mwenzako...
Jane_000 hujawahi kutongozwa? Umedai watafuta mchumba. Si huyo anakutongoza.
Kubali yaishe, mahakamani ni bom.
Mkubalie nami najifanya mshenga. Harusi kesho online.
Kuwa na hruma jamani ili uvishwe joho la maLOVE. Na pete kidoleni. Padre na ajitokeze wa kufungisha ndoa kesho.
Weni tuna subiri kusikia I DO !!!!!!!!!!! Na on line you may kiss the bride. Mkubalie... Mkubalie... Mkubalie....
Hivi hiki kizungu kimenyooka hapa?
Hahahahaaaa atupunguzie mzigo eeeeh tena OuSofia amempata wanayeendana nae vizuri....at least wanashare mambo mengi...hahahhahahahaaa hiyo familia yao siipatii pichabora, uokoe jahazi
Hahahahaaaa atupunguzie mzigo eeeeh tena OuSofia amempata wanayeendana nae vizuri....at least wanashare mambo mengi...hahahhahahahaaa hiyo familia yao siipatii picha
Hahahahahaaaa nani huyo???? Jane000????Hivi mkuu E52 dada yetu wa kutoa English kozi ulimkaribisha kweli?? Naona kama hakupata baraka zako..
Akishindwa wana JF wote tutaingilia kati hadi akubaliwe na Jane000 akimtosa itabidi apigwe BAN kwa kumtosa mtu wanayeendana nae....hahahahahaaaaMgande mkuu. kama ukishindwa niambie nami nmuamushie makeke yangu. akipindua kwako kwangu hapindui. nakupa nafasi ya kuongea nae, ukishindwa niambie.
Hahahahahaaaa nani huyo???? Jane000????
Yeah huyuhuyu anayezimikiwa.
Sio classicAkishindwa wana JF wote tutaingilia kati hadi akubaliwe na Jane000 akimtosa itabidi apigwe BAN kwa kumtosa mtu wanayeendana nae....hahahahahaaaa
jamanii tuelewane sitaki bwana anatembea na bajaji sorry I can't help you
Unamanisha nini ? Najua english hujuiHahahahaaaa nilimkaribisha ila kwa shingo upande kwa kuwa uzi wake wa kwanza jukwaa la utambulisho alikuja na broken za kumwaga mbaya....dah
Kama hana hata v8 hata salamu yake sitakiKwa status yako bajaji ni high level sana....mwenye bodaboda tu anakufaa...huyu wa bajaji anakufaa zaidi...usipoteze bahati Jane