SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,923
- 2,003
Tangu zoezi lianze miaka michache iliyopita nimekuwa nikikatwa elfu moja,lakini jana ikakusanywa 1500 bila maelezo hiyo 500 imeongezekaje.
Sijajua kwenu wakuu imekuaje pia kama mmekutana na ongezeko hilo.Mamlaka husika imeshawahi ongelea ongezeko hilo na hiyo tsh 500 inaenda kumfanyia nini mwananchi,je imekaaje kisheria kuchukua hela ya mtu bila kumfahamisha kuwa kuna hilo ongezeko?
Wajuzi wa mambo wenye uelewa mkubwa ninaomba msaada wenu,maana nilitaka kama mwenezi angekuwa hajapita huku niliko ningetokea kwenye mkutano hawaite wahusika wajieleze maana yeye ndiye anao uwezo wa kufumbua mafumbo now days
Sijajua kwenu wakuu imekuaje pia kama mmekutana na ongezeko hilo.Mamlaka husika imeshawahi ongelea ongezeko hilo na hiyo tsh 500 inaenda kumfanyia nini mwananchi,je imekaaje kisheria kuchukua hela ya mtu bila kumfahamisha kuwa kuna hilo ongezeko?
Wajuzi wa mambo wenye uelewa mkubwa ninaomba msaada wenu,maana nilitaka kama mwenezi angekuwa hajapita huku niliko ningetokea kwenye mkutano hawaite wahusika wajieleze maana yeye ndiye anao uwezo wa kufumbua mafumbo now days