nimie
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 525
- 104
tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele..!
Slogan hii hapa kwa JF ipo mahali pake na imemaanisha hasa. Hongereni founders na wote kwa namna moja au nyingine mmefanikisha JF kufika hapa tulipo hadi na wengine tukajoin.