Wakuu niliona habari moja katika blog ya Issamichuzi, ikiwa na picha ya hao jamaa wakiwa wamepiga na baadhi ya wabongo wanaoishi Denmark tarehe 21 April 2012 , Nikajiuliza huu mkutano uwakilishi wake ukoje? lakini sasa najaribu kuunganisha huu mkutao na uteuze wa wabunge aliofanya mheshimiwa mkuu wa taifa la Tz kwa sasa hapo jana.
Naomba mwenye ufafanuzi zaidi anijuze
Naomba mwenye ufafanuzi zaidi anijuze