Nyie machawa mnakera sanaMamilioni ya Wanadsm wamemshukuru sana Rais Samia kwa kurejesha umeme uliokatika jana usiku kutokana na hitilafu kwenye Grid ya taifa
Mama ameupiga mwingi mamilioni tumemshukuru Wapinzani na Chadema mlituchelewesha sana
Katiba ibadilishwe Rais Samia atawale hadi 2040 maana anaupiga mwingi mnoView attachment 2951104
Mamilioni ya Wanadsm wamemshukuru sana Rais Samia kwa kurejesha umeme uliokatika jana usiku kutokana na hitilafu kwenye Grid ya taifa
Mama ameupiga mwingi mamilioni tumemshukuru Wapinzani na Chadema mlituchelewesha sana
Katiba ibadilishwe Rais Samia atawale hadi 2040 maana anaupiga mwingi mnoView attachment 2951104
Mamilioni ya Wanadsm wamemshukuru sana Rais Samia kwa kurejesha umeme uliokatika jana usiku kutokana na hitilafu kwenye Grid ya taifa
Mama ameupiga mwingi mamilioni tumemshukuru Wapinzani na Chadema mlituchelewesha sana
Katiba ibadilishwe Rais Samia atawale hadi 2040 maana anaupiga mwingi mnoView attachment 2951104
My foot!Ujinga ni zaidi ya tatizo Yaani Janga!
Watu wameshindwa kuwa pro active kuzuia tatizo lisitokee wakaacha likatokea, usumbufu mkubwa ulojitokeza wananchi kushindwa ku blend juice sababu umeme hakuna, kushindwa kucheza muziki, kushindwa kutumia Geni na ACs , vyakula kuharibika kwenye majokofu na kupata hasara,
Kazi kutofanyika kama saluni, fundi n.k
Halafu mnashukuru na kupongeza?
Aisee?!
Hem tufikirie kidogo, au tusibiri mei mosi kuna namna tutampa zawadi baada ya kupandisha mishahaŕa kwa 15k. Tuwe wavumilivu mkuu.Zawadi gani itamfaa.....?🤔
Tumnunulie zawadi ya Mitano tena Tukishindwa kununua tuibe tumpe. 🤣Tumnunulie na zawadi kabisa?😁