Jambo la Muhimu

Jamaa2

Member
Jun 18, 2012
8
9
Nimejaribu kufuatilia kwa Karibu kwenye Post zinazohusu masuala ya Mgogogro wa Tanzania na Malawi kuhusiana na Ziwa Nyasa na nimegundua kuwa tangu mzozo huu umeanza kuna watu wengi sana wameanza kuja hapa JF na kujoin kama new Members hasa kuanzia Mwezi August.

Ukifatilia comments zao utakuja kugundua kuwa wana Kiswahili cha kukosea ama Wanarespond kwa Lugha ya Kingereza na hasa kwenda Agaist na mada na kujaribu kuonyesha weakness za Tanzania katika kila jambo hasa kuhusiana na Malawi.

My take: Nadhani wanayotumia ni baadhi ya Wamalawi kujaribu kufanya "Psychological Warfare" hapa kwetu kwa kutumia mtandao kama huu wa JF kwakua wanaamini wananchi wengi sasa wanautumia kujuzana na kupata taarifa mbali mbali za muhimu Nchini na nje ya nchi. Nadhani ni kuwaangalia na kupuuza Comments hizi, ama pia MOD kuwafuta hapa.

Naomba Kuwasilisha.
 
Acha waje nao wajue msimamo wetu wakamwambie huyo bi joyce kwamba wanaume hawana mzaha na hili jambo awe makini asije ozwa ndoa ambayo hajaitarajia
 
"Nakuomba ***** twende kwa wazazi nyumbaniiii wakati wotee!! Jambo la muhimu nakuomba ***** twende kwa wazazi nyumbani"
 
Unalosema ni kweli mkuu ila haina haja ya kuwafuta au kua nao makini kama wote tunatakiwa tuitumie haki yetu ya freedom of speech. Cha msingi ni kutambua na kuilinda mipaka yetu kwa hali na mali maana hawa viongozi walikula kiapo kwa wengine kushika biblia na wengine kitabu bha quran. So hao wamalawi wajue kua hatutasita kuchukua hatua yoyote zidi ya mvamizi wa maeneo yetu. Hatuwaogopi na hawana uwezo wakupigana nasi.
Pamoja na hayo yote naomba Mungu atuepushie mbali na vita maana watanzania watakua na maisha magumu zaidi ya waliyonayo sasa. I prefer diplomatic solution than going into a so called WAR.
 
Back
Top Bottom