Cassnzoba
Senior Member
- Feb 26, 2022
- 158
- 116
Kama umemchubua na ww umechubuka UMEPATA ila kama hamna michubuko mnaweza kuwa haujapata.Ndugu zanguni habari,
Mimi nimekutana na mdada ila ktk purukushani nikawa namnyonya maziwa, gafla akaniambia ameathirika na hapo nilikuwa sijamfanya ila nimemnyonya na kumshika ukeni kwa mkono means na vidole vimeingia kama vitatu ktk kumshikashika ndio akaniambia hivo kuwa ameathirika.
Nisaidieni, je apa nimeshapata HIV au nifanyeje ndugu zanguni.
Nawasilisha.