LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 672
Kuna jambazi limesababisha mauaji ya mkuu wa upelelezi na na skari mmoja pamoja na raia mmoja huku askari mwingine akiwa amejeruhiwa viabaya kifuani,jambazi hilo lilikuwa lina nunua mafuta katika kituo cha mafuta na baadae likageuza kibao na kupora hiling mil 3 pamoja na kusababisah na mauaji hayo.