Chinantunu
Senior Member
- Mar 18, 2013
- 118
- 17
Jambazi aliefanya mauaji ya Raia m1 na Polisi w2 na kujeruhi Polisi mmoja amekamatwa leo tar 17.1.14 mjini Mtwara na ametambuliwa kuwa ni ex Police aliefanya kazi Newala.
sourceolice
sourceolice
Tena anapokuwa wa cheo cha juu ndio muhusika anapokamatwa haraka zaidi. Law enforcement ineffeciency inaweza kuwa chanzo cha matatizo mengi sana kwenye jamii yetu kuanzia rushwa, utawala bora na mengine mengi kuliko wengi tunavyodhani.Kanuni ya kwanza ya wahalifu mahiri;
"Usimguse askari"
Polisi akiuawa mhusika atakamatwa, ila wananchi wakipigwa mabomu ya kivita kanisani au kwenye mikutano polisi hawapatikanu wahusika
Mkuu, naona umeuliza picha kijanjaSubiri wale watakaokuja hapa kuuliza picha
Subiri wale watakaokuja hapa kuuliza picha
Najitolea hizi kamba made in UK bure kwa ajili ya hukumu ya huyo jambazi
Mkuu, naona umeuliza picha kijanjaSubiri wale watakaokuja hapa kuuliza picha