@font-face { font-family: "MS 明朝"; }@font-face { font-family: "MS 明朝"; }@font-face { font-family: "Cambria"; }p.MsoNormal, li.MsoNormal, div.MsoNormal { margin: 0in 0in 0.0001pt; font-size: 12pt; font-family: Cambria; }p.MsoListParagraph, li.MsoListParagraph, div.MsoListParagraph { margin: 0in 0in 0.0001pt 0.5in; font-size: 12pt; font-family: Cambria; }p.MsoListParagraphCxSpFirst, li.MsoListParagraphCxSpFirst, div.MsoListParagraphCxSpFirst { margin: 0in 0in 0.0001pt 0.5in; font-size: 12pt; font-family: Cambria; }p.MsoListParagraphCxSpMiddle, li.MsoListParagraphCxSpMiddle, div.MsoListParagraphCxSpMiddle { margin: 0in 0in 0.0001pt 0.5in; font-size: 12pt; font-family: Cambria; }p.MsoListParagraphCxSpLast, li.MsoListParagraphCxSpLast, div.MsoListParagraphCxSpLast { margin: 0in 0in 0.0001pt 0.5in; font-size: 12pt; font-family: Cambria; }.MsoChpDefault { font-family: Cambria; }div.WordSection1 { page: WordSection1; }ol { margin-bottom: 0in; }ul { margin-bottom: 0in; } Jamanii naanzisha mjadala wa katiba mpya!!!!
Ili mtu aweze kushinda na kutangazwa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzaina
I. Lazima apate asilimia 51% ya kura zote halali
II. Lazima waliojiandikisha kupika kura wajitokeze zaidi ya asilimia 65% ili ushindi kua halali.
( (i & ii)yote hapojuu yasipotimilika uchaguzi unarudiwa kwa wagombania wawili waliopata kura nyingi kuliko wengine)
nb tuiandike kwa kiswahili ili kila mtu aielewe
Raisi mteule ataapishwa siku zisizopungua 31 baada ya kutangazwa matokeo ya uchanguzi.
Ili mtu aweze kushinda na kutangazwa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzaina
I. Lazima apate asilimia 51% ya kura zote halali
II. Lazima waliojiandikisha kupika kura wajitokeze zaidi ya asilimia 65% ili ushindi kua halali.
( (i & ii)yote hapojuu yasipotimilika uchaguzi unarudiwa kwa wagombania wawili waliopata kura nyingi kuliko wengine)
nb tuiandike kwa kiswahili ili kila mtu aielewe
Raisi mteule ataapishwa siku zisizopungua 31 baada ya kutangazwa matokeo ya uchanguzi.