FICKNARD
Member
- Sep 28, 2010
- 8
- 0
Jamani tuwe makini hii rushwa tunayo ipewa huku mijini tuurumie na wakazi wa mkalama moshi- hai ambao wanateswa na muwekezaji ambaye alidiriki kuwafungia daraja lao la kuvuka ambao ndiyo wanalitegemea hilohilo kuziendea huduma muhimu. Muwekezaji huyo bw. Brutland peter ambaye hudiriki hadi kuwasaksia mbwa wananchi wajaribiapo kupita katika daraja hilo ambalo ni lao kabisa toka enzi za mababu lakini alipo kuja mkuu wa wilaya na wa mkoa alikuja kukaa naye na wakaongea. Toka siku ile wakanyang'anywa haki yao ya msingi
madhara yaliyojitokeza
watu wawili wameng'atwa na mamba katika mto karanga kisa kuvuka mto huo. Ebu awezae kufanya utafiti juu ya hili afanye
madhara yaliyojitokeza
watu wawili wameng'atwa na mamba katika mto karanga kisa kuvuka mto huo. Ebu awezae kufanya utafiti juu ya hili afanye