Jamani wakazi wa mkalama-yamnono- wilaya ya hai watakufa wote mwakani

FICKNARD

Member
Sep 28, 2010
8
0
Jamani tuwe makini hii rushwa tunayo ipewa huku mijini tuurumie na wakazi wa mkalama moshi- hai ambao wanateswa na muwekezaji ambaye alidiriki kuwafungia daraja lao la kuvuka ambao ndiyo wanalitegemea hilohilo kuziendea huduma muhimu. Muwekezaji huyo bw. Brutland peter ambaye hudiriki hadi kuwasaksia mbwa wananchi wajaribiapo kupita katika daraja hilo ambalo ni lao kabisa toka enzi za mababu lakini alipo kuja mkuu wa wilaya na wa mkoa alikuja kukaa naye na wakaongea. Toka siku ile wakanyang'anywa haki yao ya msingi

madhara yaliyojitokeza

watu wawili wameng'atwa na mamba katika mto karanga kisa kuvuka mto huo. Ebu awezae kufanya utafiti juu ya hili afanye
 
Jamani tuwe makini hii rushwa tunayo ipewa huku mijini tuurumie na wakazi wa mkalama moshi- hai ambao wanateswa na muwekezaji ambaye alidiriki kuwafungia daraja lao la kuvuka ambao ndiyo wanalitegemea hilohilo kuziendea huduma muhimu. Muwekezaji huyo bw. Brutland peter ambaye hudiriki hadi kuwasaksia mbwa wananchi wajaribiapo kupita katika daraja hilo ambalo ni lao kabisa toka enzi za mababu lakini alipo kuja mkuu wa wilaya na wa mkoa alikuja kukaa naye na wakaongea. Toka siku ile wakanyang'anywa haki yao ya msingi

madhara yaliyojitokeza

watu wawili wameng'atwa na mamba katika mto karanga kisa kuvuka mto huo. Ebu awezae kufanya utafiti juu ya hili afanye


Kwenye hiyo nyekundu hizi ni porojo tu

hujaweka chanzo

pia unasema hii ni Breaking News,then unaomba watu wafanye utafiti,Which is Which?
 
We jamaa chizi nini? Unauliza source??/source ni jamii forums kama unataka deteils zaidi nenda hai. Ila tunaomba wahusika wafuatilie hilitukio ili kama ni kweli wenzetu wasiendelee kuteswa na hawa nambari wani
 
Hey! this is not crazy things like that you have said that" We jamaa chizi" no! kama hutaki kwenda moshi it is up 2 you guy ila habari ndiyo hiyo mzeiya. Na pia niwapo katika JF kama wachakarikaji yapasa tuchangie na tupeane mawazo yenye akili siyo kuitana machizi kwani umesikia waanzilishi wa JF ni machizi kuweka Blog hii?

Mimi FICKNARD nazidi kutoa taarifa mpya zaidi ambazo kama kuna apendaye kunipa akili anisaidie kunipa akili. ni kipi nitakifanya kusaidia wanakijii wangu Mkalama moshi.

kuhusu nitapiga kura kwa slaa au vipi, hilo ni jukumu la mtu binafsi ila siwezi kumuingiza presdaa aliyeninyanyasa kipidi cha nyuma ila
 
We jamaa chizi nini? Unauliza source??/source ni jamii forums kama unataka deteils zaidi nenda hai. Ila tunaomba wahusika wafuatilie hilitukio ili kama ni kweli wenzetu wasiendelee kuteswa na hawa nambari wani

SOURCE NI JAMII FORUM? WEJAMAA CHIZII NINI? that is what you have just write guy THIS IS MY VIEW, NIPE AKILI YA KUFANYA SIYO HIVYO NINA AKILI TIMAMU MKUBWA?
 
Hoya we Ficknard naona bado mgeni kidogo,hapo Nyani abiziani kamjibu jamaa anaeuliza chanzo na siyo wewe bana...Comment ya Rutunga M ndo imejibiwa tena jamaa kakupa support lakini we umechanganya mambo soma vizuri...
 
Hoya we Ficknard naona bado mgeni kidogo,hapo Nyani abiziani kamjibu jamaa anaeuliza chanzo na siyo wewe bana...Comment ya Rutunga M ndo imejibiwa tena jamaa kakupa support lakini we umechanganya mambo soma vizuri...

kula tano mjomba. Jamaa sijui kalivamia jukwaa. Ila hilo neno chizi nimelitumia kama kivumishi na sijalitumia kama tusi so chalii angu asimind kivile.
 
Hey! this is not crazy things like that you have said that" We jamaa chizi" no! kama hutaki kwenda moshi it is up 2 you guy ila habari ndiyo hiyo mzeiya. Na pia niwapo katika JF kama wachakarikaji yapasa tuchangie na tupeane mawazo yenye akili siyo kuitana machizi kwani umesikia waanzilishi wa JF ni machizi kuweka Blog hii?

Mimi FICKNARD nazidi kutoa taarifa mpya zaidi ambazo kama kuna apendaye kunipa akili anisaidie kunipa akili. ni kipi nitakifanya kusaidia wanakijii wangu Mkalama moshi.

kuhusu nitapiga kura kwa slaa au vipi, hilo ni jukumu la mtu binafsi ila siwezi kumuingiza presdaa aliyeninyanyasa kipidi cha nyuma ila

elezea basi vizuri watu wakuelewe tukupe msaada ,inaonekana wewe humu n mgeni so dont worry kila kitu humu kinasovika kama tutakavyomtoa JK tr 31oct.
 
Back
Top Bottom