NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
heheheh mwandishi ajibiwa kwa kiburi ile mbaya hahaha ajibiwa ki ustaa lool,,,,ni mtizamo wangu tuu..
Last edited by a moderator:
heheheh mwandishi ajibiwa kwa kiburi ile mbaya hahaha ajibiwa ki ustaa lool,,,,ni mtizamo wangu tuu..
I haven't do that ndo nini? si aongee kiswahili tu?:disapointed:
upuuzi
"Mtoto" anatoka nyumbani bila ya kumuaga mama?....:A S 13::A S 13::A S 13:
Balehe inamsumbua tu..:ranger: Akikua ataacha.
Eee Mungu utunusru...:A S-omg:
hicho ndio kizazi cha .com naona tunaiga utamaduni wa ulaya huyu dogo anaonekana kapinda toka zamani sana kwa utamaduni wetu tz lazima uage hasa ukiwa under 18 au ukiwa mke wa mtu
heheheh mwandishi ajibiwa kwa kiburi ile mbaya hahaha ajibiwa ki ustaa lool,,,,ni mtizamo wangu tuu..
...mbona yuko mabega wazi..na mahojiano yanaonekana ni mchana tena pale M Tower ..eneo la steeers...au ?.....ndiyo anatutega
dogo anahitaji kikombe cha babu faster.... ili atulie
pamoja na mapungufu yote ila ni mzuri wa umbo tusimbanie
kwa mtazamo wangu na uzoefu wangu kwa jinsi anavyoongea
tena mbele ya kamera
huyu mtoto watu wanamchakachua, TENA WAZEE,
na hii kiswa-kinge kakitoa wapi( I, MY person)
hiki kizazi cha kidiku na JK BWANA
Kwani huyu nani? Kawekwa na nani hapa? Kwanini? Mtoeni.....nikirudi nisimkute.....mwanaharamu mkubwa!