Athy Sal
JF-Expert Member
- Dec 23, 2012
- 507
- 339
Tanzania ni zaidi ya uijuavyo mkuuYaani utazani hao watumishi wanaohakikiwa ni kama maruhani hivi... yaani leo wanaonekana... kesho hawaonekani.
Inawezekana vipi zoezi lichukue miezi 10 kama sio kuleta Mambo ya kitoto?