Jamani nina tatizo la kuogopa giza kupita kiasi (Nyctophobia), ushauri p'se!

Atabase Agaya

Senior Member
Dec 7, 2011
120
41
Wasalaamu kaka zangu na dada zangu wana JF.

Mimi ni kijana mwanaume (36yrs) na nusu ya umri wangu nimeishi kijijini. Nabainisha hilo ili kuondoa shaka au dhana kuwa labda sikuzoea maisha ya kijijini. Nimezoea sana maisha ya kijijini na nakumbuka wakati ule hata umeme ulikuwa bado kusambazwa kijijini kwetu.

Tatizo la kuogopa giza limeanza takribani miaka miwili iliyopita. Sijuhi chanzo hasa nini, lakini nakiri kuwa ni tatizo nililonalo na kadri muda unavyozidi kupita ndivyo uwoga unavyozidi!

Nyumbani kwangu nimejiandaa kwa namna zote endapo umeme (National Grid) utakatika.

Hali ya kuogopa giza kupita kiasi mara nyingi unitokea niwapo ktk chumba chochote ambacho umeme ukikatika ghafla usiku, nitashindwa kupata source yoyote ya mwanga. Mapigo ya moyo ubadirika na uwa najisikia kutaka kupasuka. Endapo nitakuwa nje ya nyumba au jengo na umeme ukakosekana, hilo siyo tatizo kwangu! Nikisafiri kwenda sehemu yoyote, lazima nibebe mishumaa kadhaa au taa ndogo ya ku-charge kwenye umeme (re-chargeable lamp).

Mwenye kujua tatizo hili, naomba ushauri tafadhali.
 
Wasalaamu kaka zangu na dada zangu wana JF.

Mimi ni kijana mwanaume (36yrs) na nusu ya umri wangu nimeishi kijijini. Nabainisha hilo ili kuondoa shaka au dhana kuwa labda sikuzoea maisha ya kijijini. Nimezoea sana maisha ya kijijini na nakumbuka wakati ule hata umeme ulikuwa bado kusambazwa kijijini kwetu.

Tatizo la kuogopa giza limeanza takribani miaka miwili iliyopita. Sijuhi chanzo hasa nini, lakini nakiri kuwa ni tatizo nililonalo na kadri muda unavyozidi kupita ndivyo uwoga unavyozidi!

Nyumbani kwangu nimejiandaa kwa namna zote endapo umeme (National Grid) utakatika.

Hali ya kuogopa giza kupita kiasi mara nyingi unitokea niwapo ktk chumba chochote ambacho umeme ukikatika ghafla usiku, nitashindwa kupata source yoyote ya mwanga. Mapigo ya moyo ubadirika na uwa najisikia kutaka kupasuka. Endapo nitakuwa nje ya nyumba au jengo na umeme ukakosekana, hilo siyo tatizo kwangu! Nikisafiri kwenda sehemu yoyote, lazima nibebe mishumaa kadhaa au taa ndogo ya ku-charge kwenye umeme (re-chargeable lamp).

Mwenye kujua tatizo hili, naomba ushauri tafadhali.

Pole mkubwa.

Hii kitu pia inanisumbua sana. Huwa nakosa hewa kabisa ikitokea niko kwenye chumba chenye giza usiku na hasa kama nitaamua kujilaza. Sijajua chanzo, lakini ni jambo ambalo linanipa tabu.
 
Pole mkubwa.

Hii kitu pia inanisumbua sana. Huwa nakosa hewa kabisa ikitokea niko kwenye chumba chenye giza usiku na hasa kama nitaamua kujilaza. Sijajua chanzo, lakini ni jambo ambalo linanipa tabu.

Mkuu, kumbe tuko wengi; Ebu tuwasilikize wataalamu maana JF ni mwisho wa maneno
 
Kuna vidonge vinaitwa "photosynthes" ndo'dawa na kinga tosha ya hilo tatizo. Angalizo vnamezwa usiku tu.
 
Jamani wataalam hebu tusaidieni.....im 26th na hii hali inanitesa mbaya! Huwa sizimi taa usiku na kama nipo sehem isiyo na umeme ndo balaa kabisa!? Jf doctors please!!
 
Tatizo hilo linaitwa Nyctophobia na linatibika. Pole sana mkuu, tafuta professional advice. Na matatizo yetu ya mgao haya...
 
Ni maradhi ya akili yani akili zako zinanza kupungua ndo sababu.
 
Wasalaamu kaka zangu na dada zangu wana JF.

Mimi ni kijana mwanaume (36yrs) na nusu ya umri wangu nimeishi kijijini. Nabainisha hilo ili kuondoa shaka au dhana kuwa labda sikuzoea maisha ya kijijini. Nimezoea sana maisha ya kijijini na nakumbuka wakati ule hata umeme ulikuwa bado kusambazwa kijijini kwetu.

Tatizo la kuogopa giza limeanza takribani miaka miwili iliyopita. Sijuhi chanzo hasa nini, lakini nakiri kuwa ni tatizo nililonalo na kadri muda unavyozidi kupita ndivyo uwoga unavyozidi!

Nyumbani kwangu nimejiandaa kwa namna zote endapo umeme (National Grid) utakatika.

Hali ya kuogopa giza kupita kiasi mara nyingi unitokea niwapo ktk chumba chochote ambacho umeme ukikatika ghafla usiku, nitashindwa kupata source yoyote ya mwanga. Mapigo ya moyo ubadirika na uwa najisikia kutaka kupasuka. Endapo nitakuwa nje ya nyumba au jengo na umeme ukakosekana, hilo siyo tatizo kwangu! Nikisafiri kwenda sehemu yoyote, lazima nibebe mishumaa kadhaa au taa ndogo ya ku-charge kwenye umeme (re-chargeable lamp).

Mwenye kujua tatizo hili, naomba ushauri tafadhali.

Hee! Nilifikiri ni peke yangu kumbe tupo wengi,tunaomba madokta mtusaidie "HALI HII INATISHA"Mkuu pole sana.
 
dah..pole mkuu,
Jaribu kuangalia matukio ya nyuma...ni jambo gani liliwahi kutokea ukiwa gizani?
inawezekana hofu na uoga unaoupata inatokea na tukio fulani/ kumbukumbu ya tukio la kutisha ulilowahi kupata.
 
Back
Top Bottom