Atabase Agaya
Senior Member
- Dec 7, 2011
- 120
- 41
Wasalaamu kaka zangu na dada zangu wana JF.
Mimi ni kijana mwanaume (36yrs) na nusu ya umri wangu nimeishi kijijini. Nabainisha hilo ili kuondoa shaka au dhana kuwa labda sikuzoea maisha ya kijijini. Nimezoea sana maisha ya kijijini na nakumbuka wakati ule hata umeme ulikuwa bado kusambazwa kijijini kwetu.
Tatizo la kuogopa giza limeanza takribani miaka miwili iliyopita. Sijuhi chanzo hasa nini, lakini nakiri kuwa ni tatizo nililonalo na kadri muda unavyozidi kupita ndivyo uwoga unavyozidi!
Nyumbani kwangu nimejiandaa kwa namna zote endapo umeme (National Grid) utakatika.
Hali ya kuogopa giza kupita kiasi mara nyingi unitokea niwapo ktk chumba chochote ambacho umeme ukikatika ghafla usiku, nitashindwa kupata source yoyote ya mwanga. Mapigo ya moyo ubadirika na uwa najisikia kutaka kupasuka. Endapo nitakuwa nje ya nyumba au jengo na umeme ukakosekana, hilo siyo tatizo kwangu! Nikisafiri kwenda sehemu yoyote, lazima nibebe mishumaa kadhaa au taa ndogo ya ku-charge kwenye umeme (re-chargeable lamp).
Mwenye kujua tatizo hili, naomba ushauri tafadhali.
Mimi ni kijana mwanaume (36yrs) na nusu ya umri wangu nimeishi kijijini. Nabainisha hilo ili kuondoa shaka au dhana kuwa labda sikuzoea maisha ya kijijini. Nimezoea sana maisha ya kijijini na nakumbuka wakati ule hata umeme ulikuwa bado kusambazwa kijijini kwetu.
Tatizo la kuogopa giza limeanza takribani miaka miwili iliyopita. Sijuhi chanzo hasa nini, lakini nakiri kuwa ni tatizo nililonalo na kadri muda unavyozidi kupita ndivyo uwoga unavyozidi!
Nyumbani kwangu nimejiandaa kwa namna zote endapo umeme (National Grid) utakatika.
Hali ya kuogopa giza kupita kiasi mara nyingi unitokea niwapo ktk chumba chochote ambacho umeme ukikatika ghafla usiku, nitashindwa kupata source yoyote ya mwanga. Mapigo ya moyo ubadirika na uwa najisikia kutaka kupasuka. Endapo nitakuwa nje ya nyumba au jengo na umeme ukakosekana, hilo siyo tatizo kwangu! Nikisafiri kwenda sehemu yoyote, lazima nibebe mishumaa kadhaa au taa ndogo ya ku-charge kwenye umeme (re-chargeable lamp).
Mwenye kujua tatizo hili, naomba ushauri tafadhali.