Nimeamini!!Kumbe chuchu zinaweza zikawa ndala, wakati mtoto bado yupo sealed, ,, aisee!!
mmmmmmmmmmhteh teh teh!
mila zinadhalilisha utu wa mwanamke hizi,hii kitu valuable haitakiwi kuwa maonyesho.chuchu boma kama hizi
nenda tu ila ujue utaishia kunawa tu.
hataishia kunawa,utaratibu wao mfalme akishachagua mmoja basi wengine wote walioshiriki mwaka huo wako huru kuolewa,mwaka unaofata hawashiriki tena vinakuja vifaa vipya.nenda tu ila ujue utaishia kunawa tu.