ngwengwe.eikei ei high volt.Pole ndugu, nenda ukapimwe!
nishawah kupima ngoma nikakutwa nna alama ya kutoa,but kwa sasa nna malaria na ku...koh! Koho..kubanja
Kwa kubembelezwa huku itabidi na mimi niumwe...Jamani pole mpenzi. Umeshameza dawa?Umeweza hata kula au nikuchemshie kasupu nikuletee?
Huko kubanja changanya limao, asali na magadi kidogo kwenye kijiko unywe.
jamani nipeni pole ,mwenzenu naumwa naskia malaria, alafu nabanja kishenzi,nipeni pole mamen na wanawake pia,akina dada pole zenu zinatia moyo zaidi.
Kwa kubembelezwa huku itabidi na mimi niumwe...
Ustaarabu sio pesa useme ukionyesha utaibiwa. Mtu anaumwa siumpe pole na kama hutaki upite kimya kimya?wakati unavalishwa condom mbona ukutukaribisha aunakaribisha imeshaoza na kuoza loh
mbaya weyeeeeeeeeee
mgeni mgeni mgeni mgeni huyu mgeni mgeni ameingia hana adabu wala haya
amevamia na jf mgeni aemingia sasa watanzania tufanyeje mgeni kashavamia na jf
ukiuchoka wimbo wangu fungua akunaga ikuridhishe mpwa
Hivi ndugu yangu what do you have in mind, kumpa mtu pole huku unamtajia marhem?Pole sana dogo, ulivyotaja kubanja nikamkumbuka Mr. Ebbo! Mungu amlaze mahala pema peponi. Amen.
Hivi ndugu yangu what do you have in mind, kumpa mtu pole huku unamtajia marhem?