Teh teh teh....
Kaazi kweli kweli...
Why jamani au nimefanya makosa kubisha hodi
Una majina mangapi humu wewe?
Habari zenu wana jf
Mi ni mgeni nimejiunga nanyi baada ya kuvutiwa na michango yenu ya kila siku na napata mafunzo sana,
Naombeni ushirikiano wenu
nawapendajeeeeeeeeeeeeeeee
Asanteni n mbarakiwe
wewe sio mgeni kabisa
Ushirikiano gani zaidi unaohitaje prettyl?
ndio nishasema ,naona unauliza maswali upate wachangiaji wengi wewe sio mgeni full stop sinimekuona umepigwa ban kulekwa nini unasema hivyo
Karibu sana jamvini, nimevutiwa na hapo kwa red, unaweza kufafanua zaidi?
ndio nishasema ,naona unauliza maswali upate wachangiaji wengi wewe sio mgeni full stop sinimekuona umepigwa ban kule
kwa nini unasema hivyo