- Thread starter
- #21
Nyongeza ipo?,bado mpàka mwezi wa SabaNgoma imesoma….
Salaryslip tayar mambo super!
Nyongeza ipo?,bado mpàka mwezi wa SabaNgoma imesoma….
Salaryslip tayar mambo super!
Sina shida kuna mtu namdaiNjoo uchukue kwangu,utarudisha kwa 30%
Tutaongeza mwezi wa 7. ..na proportional kwa kuanzia 23% Kima Cha chiniNyongeza ipo?,bado mpàka mwezi wa Saba
Wànasema....not me!Watumishi mnadeka sana
Sawa,hebu tuendelee kukipigania chama chetu kipya Umoja partyAchà matusi hayo. Nilizaliwa kabla ya TANU na sikujiunga nayo ingawa nili support harakati zake za uhuru. then ikaja CCM , nikaikataa maana policy za Nyerere sikuzipenda na mpàka leo maana sioni la maana. After all Uhuru ungelikuja since we were a protectorate under British guardianship
Ulistaafu kujamba?Serikali katili lazima isemwa, Hakuna anayeitukana, Bali tunaisema na maovu yake.
For your information, nilistaafu nadhani kabla hujazaliwa!
Wakati ni Retired ,🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe we nawe ni mtumishi wa serikali? Heh!!!!!;
Leo ni siku ya 30 mkuu,ni haki yao kuuliza,mshahara wa mwisho waliupata tarehe kama ya leoWatumishi mnadeka sana
Tayari kimeshaumana