UdakuziMtandaoni
Member
- Oct 9, 2012
- 39
- 23
Nifundisheni, nielewesheni, mgeni mie naanzia wapi?
pita ndani kijana.Nifundisheni, nielewesheni, mgeni mie naanzia wapi?
pita ndani kijana.
We binti ama mvulana?
karibu mpendwa!
Karibu. Hapa ndio umeanza.
Asante sana HEART nashukuru kwa kunikaribisha.Unaanzia hapahapa...kwengine utaingia mwenyewe. Karibu kwenye familia yetu.
Acha maswali yasiyo na mashiko? Kwani ukijua jinsia yangu itakusaidia nini?
Kukufahamu jinsia yako ni mhimu mkuu, kama hujijui pia tujulishe tukuchagulie!
Ulipoanzia ndo hapo hapo.Sahihi sana, yaani sawa kabisa. Karibu.
Karibu sana,ila jua ukileta uzi pumba ujue imekula kwako,kuwa mvumilivu kuna watu wapo makini balaa humu! Karibu sana
Hivi hiyo Rep Power ndio nini hasa?