Jamani jf

kama kawaida yangu...nimepanic kwa sasa...nahitaji muda zaidi...ntawasalim kesho!...missed u ALL...kasoro wewe!
 
Mi nlijiua kamchina kangu tu, yani hapa leo naijaribu nasema ndo mara ya mwisho km haipatikani tena basi, nlikua nshanuna
 
Daah! Yaan hta mm nilikosa raha, kumbe addiction inakua namna hii,ndo maana hta wale wala unga ni ngumu kuacha isee.
 
Nilipata hasiri iliyofany nimchukie kila mtu, lol
kumbe kweli mazoea yana taabu zake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom